Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

Ndugu zangu,
Kuna kitu hapa tunapaswa kuelewa, kila mshahara anaolipwa mtu huja baada ya maongezi na makubaliano.

Kama mshahara wa mtu ni mdogo au mkubwa uliotokana na makubaliano aliyofanya na mlipa mshahara huo.

Guede kaijua thamani yake na akadai mshahara kulingana na thamani yake kama anavyojijua isilaumiwe Yanga.

Kama Mzize anaona analipwa kidogo basi aende atakakopewa mshahara mkubwa, kama ilivyokuwa kwa Fei.

Yanga haitoa mshahara kwa kufupa, ila kwa makubaliano ya pande zote mbili, wala haina haja ya kuingilia sisi mashabiki.

Ova
Utetezi wa hovyo sana. Kwa mchezaji kama mzize mwenye mchango mkubwa klabu inayojielewa ingekaa nae haraka kuboresha masilahi hata kama hapo kabla alikubali kiduchu.

Hapo akitaka kuondoka atawekewa mizengwe ya kiswhahili swahili. Sema wachezaji wa kibongo nao wamekaa kizembe zembe hata kutengeneza tetesi bandia za kuhamia simba kuwa mrithi wa john bocco hamna. Wanakaa kama washabiki wa timu, bado wako enzi za Ngasa
 
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k

Sa anaishije hapa Dar au anapiga Ndondo?
 

Mishahara ya Wachezaji wa Simba SC 2023/2024 Player Salaries​

#MchezajiCountrySalary
17Clatous ChamaZambia20Mil
22John Raphael BoccoTanzania15Mil
FarouzTanzania1Mil
28Aishi Salum ManulaTanzania14Mil
40Peter BandaMalawi6Mil
18Nasolo KapamaTanzania2.5Mil
Moses PhiriZambia15Mil
11Luis MiqussionTanzania8.1Mil
16Fondoh Che MaloneCameroon9Mil
Aubian KramoCote d’Ivoire9Mil
15Mohamed HusseinTanzania10Mil
12Shomari KapombeTanzania10Mil
13Hamisi KaziTanzania2.2Mil
8Sadio KanoutéMali16Mil
19Mzamiru YassinTanzania7Mil
Devid KametaTanzania2Mil
30Husein AbelTanzania2Mil
1Ally Salim JumaTanzania1.8Mil
8Fabrice NgomaDR Congo7Mil
Henoc Inonga BakaDR Congo11Mil
26Kennedy JumaTanzania3Mil
10Saido NtibanzokizaBurundi6.2mIL
Israel Patrick MwendaTanzania2mIL
38Denis KibuTanzania3.7Mil
Jimson Stephen MwanukeTanzania1Mil
7Willy OnanaCameroon6 Million
20Hussein HasanTanzania
Auyoub LakreyMorocco
Hussein AbelTanzania2.1 Mil
Wanalipwa vizur sana ukilinganisha na Yanga, ila kwenye mchezo ni kinyume chake.
 
Ndugu zangu,
Kuna kitu hapa tunapaswa kuelewa, kila mshahara anaolipwa mtu huja baada ya maongezi na makubaliano.

Kama mshahara wa mtu ni mdogo au mkubwa uliotokana na makubaliano aliyofanya na mlipa mshahara huo.

Guede kaijua thamani yake na akadai mshahara kulingana na thamani yake kama anavyojijua isilaumiwe Yanga.

Kama Mzize anaona analipwa kidogo basi aende atakakopewa mshahara mkubwa, kama ilivyokuwa kwa Fei.

Yanga haitoa mshahara kwa kufupa, ila kwa makubaliano ya pande zote mbili, wala haina haja ya kuingilia sisi mashabiki.

Ova
Huo ni uongo mbona hajapost hio chart ya mishahara
 
Huo ni uongo mbona hajapost hio chart ya mishahara
hiyo hapo
IMG_20240415_235527.jpg
 
Ya Mayele yameisha kifo kibudu saivi imetengenezwa trending story kuhusu mishahara. Tanzania haishi vituko, uzuri uongozi wa Yanga na wachezaji huwa hawatolewi kijinga kwenye mipango yao. Hata mimi naweza kutengeneza chart kama hiyo na kuaminisha watu kuwa ni mishahara ya wachezaji.
 
Ya Mayele yameisha kifo kibudu saivi imetengenezwa trending story kuhusu mishahara. Tanzania haishi vituko, uzuri uongozi wa Yanga na wachezaji huwa hawatolewi kijinga kwenye mipango yao. Hata mimi naweza kutengeneza chart kama hiyo na kuaminisha watu kuwa ni mishahara ya wachezaji.
Ndo maana uwezo wa mashabiki wa simba kufikiri ni mdogo sana
Viongozi wao wamewekeza kwenye propaganda za hali ya juu sana
 
Kwani mshahara halisi kwa Mzize na Diarra ni upi mkuu, Maana kama umepingana na mtoa mada basi wewe unalo jibu kamili.

Hebu funguka.
Mshahara halisi anaujua mwenyewe Mzize na Diara. Kwani wewe hauna uwezo wa kukaa na kutengeneza chart kama hivyo? Au hapo kuna uthibitisho upi unaonesha kuwa Yanga wanalipa hiko kiasi cha pesa kwa wachezaji?
 
Mshahara halisi anaujua mwenyewe Mzize na Diara. Kwani wewe hauna uwezo wa kukaa na kutengeneza chart kama hivyo? Au hapo kuna uthibitisho upi unaonesha kuwa Yanga wanalipa hiko kiasi cha pesa kwa wachezaji?
Kwa hizi nyuzi utagundua mashabiki wa simba wengi wao wanaupeo mdogo sana na hii inatoa mwanya viongozi wao kutumia propaganda kuwachezea

Jana tajiri wao kawaambia ataongea nao instagram eti waseme wachezaji wasiowapenda na wanaowapenda wasajili angalia huu uongo na propaganda kuongoza simba ni rahisi sana
 
Back
Top Bottom