Inasemekana anagongea hadi bia siku hizi.JUMA NATURE ANAKAA MBAGALA UNASHUKA ZAKIEM UNAPANDA PIKIPIKI KUELEKEA SEHEMU INAITWA KWA MA TEMBO
KWA HALI ALIYONAYO SIDHANI KAMA ANA MILIONI 5 KESHI ANAYOMILIKI
Nyumba ya Mbagala ya JUMA Nature Ina thamani ya bilioni ngapi Tena?Lengo la kila msanii ni kuburudisha hadhira yao kupitia ufundi wao. Walakini, kazi yao lazima ifanane na mapato yao ambayo huamua mtindo wao
Juma Nature kajichokea lakini na Jux ni kapuku wa kutupa labda kama haumfahamu in real life.Kwamba Juma Nature kampita Jux [emoji1][emoji1][emoji1]
Juma Nature kajichokea lakini na Jux ni kapuku wa kutupa labda kama haumfahamu in real life.
Hapo karibu wote wanaishi kwa kuungaunga ukitoa Sadala na Prof J.
ogopa sana mtu ananunua saa ya dola 35000Eti gari ya 1b[emoji849][emoji849]
Kwa ule mtumba uliokuwa na matairi vipara, aliouziwa na wahindi Koko hapo posta...akaufunga na manailoni akausweka kwenye likontena lichovu badae akaita kamera contena likafunguliwa kufuli mkarushiwa mipicha na mivideo mwaaaah?[emoji849][emoji849][emoji848]
If that so oh yeah 1b my a$$
Ogopa sana mtu anayempeleka Hawa kutibiwa njee ya nchi.Utawajua wakiumwa au wakipata matatizo ya kifedha full kuzungusha bakuli matonya akasubiri...tuko nao kitaa tunawaona
Huko mkoan ndo wanatishika nao
Toka lini jamaa akawa na ukaribu na huyo kiumbe?Mmhh yeye ndiyo anapenda ndogo ila za wanawake tu siyo za wanaume wenzie. Yeye kama yeye hageuzwi ila OD ndiyo alikuwaga anageuzwa na huyo tajiri unayemzungumzia hadi kuzawadiwa lile RR.
pesa itajionesha tu wala huitaji kupiga kelele za kishabiki.kama umekubali sadala hauingi ungi,unapata wapi nguvu ya kuwakataa wengine!!!
mimi nitakwambia kiba pia haungi ungi,kwa vile havai macheni na malaba ya kuwaka waka utakataa.
pesa itajionesha tu wala huitaji kupiga kelele za kishabiki.
kabisa mkuu, katika jamii inayonizunguka kuna watu kila siku wanajisifia Wana mkwanja halufu daily tupo nao kwa mama ntilie tunakula wali wa buku.au kutangazia uma nina hela.
Ya kibakuli ni 9+bSometimes mnaoenda watanzania tuonekane tuonaoneana wivu yaan Juma Nature ana 1.5b au Alikiba ana 4.5B
11. Dj DON NALIMISONLengo la kila msanii ni kuburudisha hadhira yao kupitia ufundi wao. Walakini, kazi yao lazima ifanane na mapato yao ambayo huamua mtindo wao wa maisha. Tanzania inajulikana kama nyumba ya muziki wa Bongo ambayo huvutia umati wa mashabiki kote ukanda wa Afrika Mashariki.
Aina hiyo pia imeona wasanii anuwai wakijipatia umaarufu na kujikusanyia utajiri. Wasanii wa muziki wa Tanzania wameonyeshwa kwenye uwanja wa kimataifa kwa ubora wa nyimbo wanazotengeneza.
Umaarufu wao umewapata sifa, tuzo, na pesa kwa kiwango sawa. Orodha ya wanamuziki tajiri nchini Tanzania pia ingeweza kutafsiri kwa watayarishaji wakubwa wa muziki nchini kupitia lebo zao za rekodi.
Hawa ndio wanamuziki 10 bora wa Tanzania.
1. Diamond Platinumz $ 7 milioni
2. Ali Kiba $ 4.5 milioni
3. Profesa Jay $ 3 milioni
4. Lady Jaydee $ 2.4 milioni
5. Juma Nature $ 1.5 milioni
6. AY $ 1.3 milioni
7. Harmonize $ 1.2 milioni
8. Vanessa Mdee $ 1 milioni
9. Rayvanny $ 0.9 milioni
10. Juma Jux $ 0.6 milioni
NB : hizi siyo hela cash benki Bali ni jumla ya assets kama: Nyumba, Magari, Biashara, Viwanja na Aina nyingine yeyote ya uwekezaji
Zile picha za Jux akiwa kwenye kagorofa white na gari mbili BMW na Marcedes sio mali yake?Juma Nature kajichokea lakini na Jux ni kapuku wa kutupa labda kama haumfahamu in real life.
Hapo karibu wote wanaishi kwa kuungaunga ukitoa Sadala na Prof J.
Ghorofa si lake na kati ya yale magari mawili Mercedes ni lake.Zile picha za Jux akiwa kwenye kagorofa white na gari mbili BMW na Marcedes sio mali yake?
Issue siyo chains hapa, issue ni uchumi. Ali bado sana hata akivaa macheni, kwa maisha ya kawaida ya kubadilisha mboga sawa lakini si zaidi ya hapo.kama umekubali sadala hauingi ungi,unapata wapi nguvu ya kuwakataa wengine!!!
mimi nitakwambia kiba pia haungi ungi,kwa vile havai macheni na malaba ya kuwaka waka utakataa.
Issue siyo chains hapa, issue ni uchumi. Ali bado sana hata akivaa macheni, kwa maisha ya kawaida ya kubadilisha mboga sawa lakini si zaidi ya hapo.
MajangaKwa mondi naweza amini kidogo ila hao wengine[emoji848][emoji848]
Na wewe unayebisha ukiambiwa bado sana ni nani yake, labda tuanzie hapo.wewe nani yake mpaka unasema bado sana!!!!
Na wewe unayebisha ukiambiwa bado sana ni nani yake, labda tuanzie hapo.
Hawa watu wana marafiki, majirani, watu wanaofanya nao kazi hivyo usiwe deceived kirahisi kama kuwafahamu kwako kunategemea tantarira za kwenye media/social media.