Tetesi: Inadaiwa hawa ndio Wasanii kumi tajiri Tanzania

Tetesi: Inadaiwa hawa ndio Wasanii kumi tajiri Tanzania

Utajiri uwa unakadiriwa kile mtu anachoingiza na si matumizi... Forbes wanapotangaza utajiri wa bezos umepanda kwa bil 57 ni pato aliloingiza na wala sio kazitumiaje

sawa mkuu.

lakini forbes hawa hawa hamtambui bro shida nini??
 
huu uzi uharo kbs....juma nature ampite jux na ay?!!...huyo kibakuli wenu hafiki mbali tu kwa ay

wenye pesa hpo ni watatu tu

1.mond
2.ay
3.jux

kwa mbali wanaofuata

4.kibakuli
5.prof j
6.lady jaydee ( ingawa kwa sasa hali yke kifedha ni mahututi)
7.harmonize
8.vannyboy

wale wengine uliowataja hawawezi kuwepo hata kwenye list

Hapo kwa Jux takupinga hadi kesho hawez mzidi Kiba hata kwa dhambi nasema kwa kuwa namjua na mwenyewe alishawahi kusema anatamani mafanikio ya Kiba (mazungumzo ya kiurafiki)
 
Joseph, sio ligi, ila huyu msanii wako ni muongo sana" muongo kupindukia ' .. kuna wakati kati ya vitu 10 anavyotangaza vyote vina kuwa vya uongo.
Wewe ndiye unayetaka ligi, sasa unabishana mpaka na TCRA na gazeti la mwananchi.
images (18).jpeg
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hata hicho kitu cha Tv sio chake....ni cha wajanja fulani wanampigia hela.

Hao ndio wanaomfake ili kuhakikisha haporomoki kwenye media for the sake of their pockets. ..

Just imagine alivutwa na Manara kwenda ku-fake km yeye ni shabiki wa Simba. ....kukuza brand" vingapi ana-fake
Hata mi najua Mond alikuwa Yanga kipindi kile anaanza mziki na Ngasa anawika.

JamiiForums mobile app
 
Issue siyo chains hapa, issue ni uchumi. Ali bado sana hata akivaa macheni, kwa maisha ya kawaida ya kubadilisha mboga sawa lakini si zaidi ya hapo.
Izo chuki tu huwezi SEMA Alikiba Hana hela kwa namna yoyote uyu jamaa mfumo tu wa maisha Ila siku akisema alipue issue zake mtajificha
 
Mbna hesabu ndgo sadala show ya nje analipwa zaid ya dola 50,000 zaid ya 100M anashow kama hizo kafanya zaidi ya 50 let say katengeneza 5bil kwa show zote za nje hizo.... Mauzo yake ya digital platforms zote kwa mwezi ni zaid ya mil 100 kwa miaka mitano tu katengeneza 5bil.. Magari tu aliopaki yte yanafikia zaid ya thamani 1.5bil...shares tu za wasafi media haziwez kuwa chini ya 3bil kwa mtu anajua uwekezaji wa media house kubwa a naelewa.... Hapo hatujaenda kwene deals kubwa za matangazo kama Pepsi na zingne nyingi... Hapo hujamgusa kwene label yake ya wcb ukizingatia wasanii almost wte wa nafanya vzuri, nyumba anazomiliki, shows za ndani, matamasha ya wasafi festival yanakua na deals za matangazo kibao...
Usiamini Kila unachokisikia kwa wale jamaa izo show hawalipwi icho kiasi ulichoweka hapo izo Ni branding technique
 
Back
Top Bottom