Utajiri uwa unakadiriwa kile mtu anachoingiza na si matumizi... Forbes wanapotangaza utajiri wa bezos umepanda kwa bil 57 ni pato aliloingiza na wala sio kazitumiaje
Sio tu yeye kwa Africa hakuna msanii ambae utajiri wake umewekwa kwene jarida la Forbes...!!sawa mkuu.
lakini forbes hawa hawa hamtambui bro shida nini??
Wewe uwa unajuaje kipi cha uongo na kipi cha ukweliJoseph, sio ligi, ila huyu msanii wako ni muongo sana" muongo kupindukia ' .. kuna wakati kati ya vitu 10 anavyotangaza vyote vina kuwa vya uongo.
Doesn't worth of a discussion. ... muda wa kutafuta hela huu kijana.Wewe uwa unajuaje kipi cha uongo na kipi cha ukweli
huu uzi uharo kbs....juma nature ampite jux na ay?!!...huyo kibakuli wenu hafiki mbali tu kwa ay
wenye pesa hpo ni watatu tu
1.mond
2.ay
3.jux
kwa mbali wanaofuata
4.kibakuli
5.prof j
6.lady jaydee ( ingawa kwa sasa hali yke kifedha ni mahututi)
7.harmonize
8.vannyboy
wale wengine uliowataja hawawezi kuwepo hata kwenye list
Sio tu yeye kwa Africa hakuna msanii ambae utajiri wake umewekwa kwene jarida la Forbes...!!
Wewe ndiye unayetaka ligi, sasa unabishana mpaka na TCRA na gazeti la mwananchi.Joseph, sio ligi, ila huyu msanii wako ni muongo sana" muongo kupindukia ' .. kuna wakati kati ya vitu 10 anavyotangaza vyote vina kuwa vya uongo.
[emoji23]Sometimes mnaoenda watanzania tuonekane tuonaoneana wivu yaan Juma Nature ana 1.5b au Alikiba ana 4.5B
[emoji38][emoji38][emoji38]Toa juma nature hapo, hata 10 millions Hana kwa Sasa, Hana Bank, Tigo pesa Wala nyumbani .....
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]watu mna maneno jamanmondi mwenye 2 hafiki labda na chawa wake tuwaweke huko kama assets.
Good question, akikujibu with solid facts tafadhali unitag.Kwa hiyo hata TCRA aliwalipa waseme 45% sio zake ili mradi afake?
Wengine mnaweza kubishana na gazeti.
Hard facts kama hizi ndiyo zinahitajika ili kumaliza mabishano.Wewe ndiye unayetaka ligi, sasa unabishana mpaka na TCRA na gazeti la mwananchi.
View attachment 1980411
Hata mi najua Mond alikuwa Yanga kipindi kile anaanza mziki na Ngasa anawika.Hata hicho kitu cha Tv sio chake....ni cha wajanja fulani wanampigia hela.
Hao ndio wanaomfake ili kuhakikisha haporomoki kwenye media for the sake of their pockets. ..
Just imagine alivutwa na Manara kwenda ku-fake km yeye ni shabiki wa Simba. ....kukuza brand" vingapi ana-fake
Izo chuki tu huwezi SEMA Alikiba Hana hela kwa namna yoyote uyu jamaa mfumo tu wa maisha Ila siku akisema alipue issue zake mtajifichaIssue siyo chains hapa, issue ni uchumi. Ali bado sana hata akivaa macheni, kwa maisha ya kawaida ya kubadilisha mboga sawa lakini si zaidi ya hapo.
Usiamini Kila unachokisikia kwa wale jamaa izo show hawalipwi icho kiasi ulichoweka hapo izo Ni branding techniqueMbna hesabu ndgo sadala show ya nje analipwa zaid ya dola 50,000 zaid ya 100M anashow kama hizo kafanya zaidi ya 50 let say katengeneza 5bil kwa show zote za nje hizo.... Mauzo yake ya digital platforms zote kwa mwezi ni zaid ya mil 100 kwa miaka mitano tu katengeneza 5bil.. Magari tu aliopaki yte yanafikia zaid ya thamani 1.5bil...shares tu za wasafi media haziwez kuwa chini ya 3bil kwa mtu anajua uwekezaji wa media house kubwa a naelewa.... Hapo hatujaenda kwene deals kubwa za matangazo kama Pepsi na zingne nyingi... Hapo hujamgusa kwene label yake ya wcb ukizingatia wasanii almost wte wa nafanya vzuri, nyumba anazomiliki, shows za ndani, matamasha ya wasafi festival yanakua na deals za matangazo kibao...
[emoji23][emoji23][emoji23]Tanzania hii hakuna msanii mwenye hela hawa wote ni matapeli tu kutaka kuonekana wanazo huku hawana kitu