Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,039
- 5,560
Ila wabongo mna roho mbaya sana aisee
Eti gari ya 1b[emoji849][emoji849]
Kwa ule mtumba uliokuwa na matairi vipara, aliouziwa na wahindi Koko hapo posta...akaufunga na manailoni akausweka kwenye likontena lichovu badae akaita kamera contena likafunguliwa kufuli mkarushiwa mipicha na mivideo mwaaaah?[emoji849][emoji849][emoji848]
If that so oh yeah 1b my a$$