BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Where we dare to speak openly ..this is JFDaniel Masimbusi ni yule aliyevaa tshirt nyeusi aliyekuwa anamsukuma Nape kwenye gari. muulize alikuwa wapi siku ya tukio la Lissu
![]()
![]()
![]()
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where we dare to speak openly ..this is JFDaniel Masimbusi ni yule aliyevaa tshirt nyeusi aliyekuwa anamsukuma Nape kwenye gari. muulize alikuwa wapi siku ya tukio la Lissu
![]()
![]()
![]()
![]()
LORD OF THE SKIES...Iko siku Mkuu atawaomba radhi watanzania, ugomvi utakaotokea kati yake na RC sio wa nchi hii.
Cha mwisho, mleta thread chukua tahadhari za kila aina, anga, nchi kavu, majini usiku na mchana.
mie na save hizi picha haraka kabla uzi haujafutwa.
Huyo ni member mzoefu, lakini kaona akileta umbea wake hapa kwa id yake ya siku zote, hakuna atayemtilia maanani. Watu wanaotafuta attention hufanya hivyo.Namwamini mleta mada, na amekuja kwa sababu tu.
kwanza ni mwanachama Mpya kabisa kajiunga leo, hana pa kusemea amekuja kutupa ukweli, Sirro ,makonda na wenzenu, Siri ni ya Mtu mmoja, Mkiwa wengi hakuna siri, mtaumbuka siku sio nyingi
Wewe akili kipande kweli..!!Ungetueleza huyo hery sniper ndio nani umetuacha solemba bado
So what?Mnajitaid but wameapa kwa dam Kama hamjuwi endeleeni
Nape hawezi kumfungulia mashtaka, kamanda siro kasema hawamjui aliyemtishia Nape kwa bastola. Unategemea nini hapo. Kuna mambo yanatia hasira ila Siro anajiaibisha.Kama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?
Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?
Mkuu distance ya mpiga picha wa camera flani,huwa inatofautiana na mpiga picha mwingine na distance ya mwingine na camera flani.
Sasa ataelewa.pia kuna angle of depression na angle of elevation ktk upgaj picha cdhn km analijua ilo
Neno "huenda" hapo limeharibu comment yakoso huenda serikali kwa serikali ndio wanatuchezea?
Anafanya Mazoezi ya nguvu sana lazima ale ugali wa kutoshaJamaa anapiga ugali mbili na dagaaaa kwa malimao dah bongo raha sana
Uwe unaficha stroke kidogo!! Hata hili unahangaika?!Jibu lao ni Mange mkuu! Mange akisema basi. hakuna kuuliza tena.
Huyo ni member mzoefu, lakini kaona akileta umbea wake hapa kwa id yake ya siku zote, hakuna atayemtilia maanani. Watu wanaotafuta attention hufanya hivyo.
Halafu nisikie mtu ananiambia kuliheshimu jeshi la polisi!!Yaani watu wamjua mpaka jina!!!!
Basi uchunguzi uanze na huyu.
Naona jamaa anakula ugali mbili kabisa
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
W![]()
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
![]()
![]()
![]()
Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
I salute you mkuu. Karibu na you will be blessed to give us the ins and outs of the evils. Big upsss.
![]()
![]()
Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe