Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Status
Not open for further replies.
Daniel Masimbusi ni yule aliyevaa tshirt nyeusi aliyekuwa anamsukuma Nape kwenye gari. muulize alikuwa wapi siku ya tukio la Lissu

DLXlSM_XoAAC-l6.jpg


DLXlSeQW0AE93Pu.jpg


DLXlTKUWkAAy-zg.jpg


DLXlUEIWAAAIBHs.jpg
Where we dare to speak openly ..this is JF
 
Iko siku Mkuu atawaomba radhi watanzania, ugomvi utakaotokea kati yake na RC sio wa nchi hii.
Cha mwisho, mleta thread chukua tahadhari za kila aina, anga, nchi kavu, majini usiku na mchana.

mie na save hizi picha haraka kabla uzi haujafutwa.
LORD OF THE SKIES...
 
Namwamini mleta mada, na amekuja kwa sababu tu.

kwanza ni mwanachama Mpya kabisa kajiunga leo, hana pa kusemea amekuja kutupa ukweli, Sirro ,makonda na wenzenu, Siri ni ya Mtu mmoja, Mkiwa wengi hakuna siri, mtaumbuka siku sio nyingi
Huyo ni member mzoefu, lakini kaona akileta umbea wake hapa kwa id yake ya siku zote, hakuna atayemtilia maanani. Watu wanaotafuta attention hufanya hivyo.
 
Kama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?

Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?
Nape hawezi kumfungulia mashtaka, kamanda siro kasema hawamjui aliyemtishia Nape kwa bastola. Unategemea nini hapo. Kuna mambo yanatia hasira ila Siro anajiaibisha.
 
Mkuu distance ya mpiga picha wa camera flani,huwa inatofautiana na mpiga picha mwingine na distance ya mwingine na camera flani.

pia kuna angle of depression na angle of elevation ktk upgaj picha cdhn km analijua ilo
 
Huyo ni member mzoefu, lakini kaona akileta umbea wake hapa kwa id yake ya siku zote, hakuna atayemtilia maanani. Watu wanaotafuta attention hufanya hivyo.

Tufanye unayoyasema kuhusu attention ni kweli, Je, hizo picha nazo unazikataa? nazenyewe zinatafuta attention?
 
Nafikiri MAULIDI KITENGE NDIYE PEKEE ANAWEZA KUTUSAIDIA HAPA KWA HIZI PICHA MNAZOSAMBAZA, binafsi hapo bado siwezi kuthibitisha hiyo sura, kimo na yule anayeonekana kwenye video ya NAPE..
 
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
DLXoYCxWsAAeZBu.jpg
W
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
DLXoYCxWsAAeZBu.jpg

DLXnj9GW4AARBnM.jpg


DLXnkySW0AAdRrP.jpg



Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari

Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe

I salute you mkuu. Karibu na you will be blessed to give us the ins and outs of the evils. Big upsss.
DLXnj9GW4AARBnM.jpg


DLXnkySW0AAdRrP.jpg



Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari

Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom