Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Status
Not open for further replies.
Hata hivyo waandishi wetu ni hovyo sana,yaani tukio kama hilo mnashindwa kuchukua picha bora,kisa woga wa bastola?

Nchi za nje,hii stori na picha zao kikamilifu zingeonekana front page ya magazeti yote.

Pumbavu sana hawa waandishi.
 
Viongozi Wa Tanzania Kwa maigizo!??mpaka wanakera!
 
Siyo kwamba hawajui kuongopa.Hapa issue ni amri kutoka mbinguni. Ila imependeza kujulikana kuwa ni mmoja wapo wa wale makirikiri wanaomlinda mwana wa mungu aliyeko hai katika ulimwengu wa makinikia na vipande viwili vya bherngae. Asante kwa utafiti na ugunduzi wenu. I believe kwa mwendo huu itajulikana hata alipo au yalipo mabaki ya kijana benny
ben atakuwa amemwagiwa tindikali akayeyukilia mbali hata mzoga wake hautawahi kuonekana
 
mbona alijulikana the same day, ndio maana Sirro anazidi kujidhalilisha, hao ni majamaa wa bashite
 
Aisee,

Kamanda Sirro tafadhali sana hebu pita pande hizi kuna raia wema wanajaribu kutoa msaada kukwamua mtanzuko na kile kizungumkuti.
 
......hawa wanatumika kufanya mauaji ya watu wasio na hatia!!
Wakamatwe...kisha Nape, Dereva wa Lisu, Kitenge waitwe kuwatambua!! Na lissu apelekewe picha zao akawatambue, waseme nani alikuwa anawatuma? Ben saa nane alitupwa wapi!? N.k
Hizo ndio siasa za mabashite wakiongozwa na mkuu wa ukoo bwana gongo kali
 
Hata hivyo waandishi wetu ni hovyo sana,yaani tukio kama hilo mnashindwa kuchukua picha bora,kisa woga wa bastola?

Nchi za nje,hii stori na picha zao kikamilifu zingeonekana front page ya magazeti yote.

Pumbavu sana hawa waandishi.
Hii imwendee kitenge maana ndo aliyekuwa akizozana naye
 
Dah! kwa mwendo huu bado wanajitapa kwamba wanaweledi, uzoefu na uwezo wakufanya upelelezi wa matukio kama wameshindwa kumpata mtu waliokua nae tena wanamfaham kabisa, mbaya zaidi wana ushahidi wa clips na picha!!!
 
Kwa hiyo Sirro ni upuuzi gani uliouliza jana!? Kumbe unaye wewe na Bashite!! Conclusion: Bashite na huyo Henri ndio wauaji wa Tundu lissu
Hii nchi inatia hasira sana! Ona kaka wa watu anauguza vidonda na majeraha huko kwa ajili ya akili za ovyo tu
 
hamorapa akimwona atamtambua lazma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom