Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Jamaa anapiga ugali mbili na dagaaaa kwa malimao dah bongo raha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahh we kweli mpuuzi!!!Kama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?
Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?
sasa naelewa kwa nini kamanda alikuwa anamtetea.
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
![]()
![]()
![]()
Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
Raia Wema wanashirikiana vizuri sana na Jeshi LA polisi. Toa pongezi mkuuKama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?
Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?
Hii ndio Tanzania.....[emoji2] [emoji2]Tunaangaika sanaaaa wakati Maulid alikuwepo nchi hii bwana
Polisi Wameomba Msaada Haya wamepewa Je mbwa Mkali ataung'ata Mkia wake?duh mtoa mada huogopi nissani nyeupe?
Eti wasiojulikana
Jibu lao ni Mange mkuu! Mange akisema basi. hakuna kuuliza tena.Huyu mbona kama mfupi na yule wa Nape mrefu
Kama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?
Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?