Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajisumbua kutafuta mfu. Huyu anaweza kuwa kwenye vile viroba vinavyokutwa na miili ya watu.
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
![]()
![]()
![]()
Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
Na nimekimbia jogging na Mau juzi tu hapa, Kimara - Ubungo, Ubungo - Kimara Resort! Yupo tele!Tunaangaika sanaaaa wakati Maulid alikuwepo nchi hii bwana
Mi nmetamani ilo li bapa,ingekua Amri yangu ningemsamehee uyo jamaa.Watu mpo vizur mi nmetaman huo ugar na dagaa
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
![]()
![]()
![]()
Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
![]()
![]()
![]()
Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
Kumbuka Nape alisema,"watu ni wale wale,idadi ni ile ile na gari ni hilo hilo" JIONGEZEHapo tumeshaunganisha dots......wauaji wetu na watelaji tunawajua kweli dunia hii hakuna siri tena!! Lisu akiziona picha na huyu sniper na huyu mwingine atasema kitu!! Uzuri hakuna siri chini ya jua na kwa polisi wa Tanzania.....pia ukitaka siri zaidi jina na mpango mzima....kwa wale masela kule selo wana data zote.....utashangaa mtandao wao mkubwa sana na unaingiliana na polisi wale wapiga deal wenzao....hakuna siri!!!! Aliepiga risasi Lisu aliendesha gari na hata posho waliolipwa itawekwa wazi siku moja!!!!........muda tuu
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
![]()
![]()
![]()
Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe