Inadaiwa huyu ndiye Moses Lijenge (luhende)

mbowe nae.kwani walinzi binafsi hakuwaona
 
Asante mkuu,umenifungua.....Mbona kama Bado wadogo walistaafu kwa mujibu wa Sheria au walifukuzwa?
 
Walitoka congo operation ikasemekana Wana battle confusion ,,yan matatzo ya akili ndo wakaachishwa kazi ila wote ni makomandoo
Komandoo gani anapigwa na mahita Hadi anajinyea?
 
Reactions: BRB
Ikitokea hukumu ikala kwa pt sijui wazee wa bakabaka watachukua hatua gani, tusubiri mahakama ifanye kazi yake Kwanza maana ni ukakasi mtupu
 
Komandoo gani anapigwa na mahita Hadi anajinyea?
Unajielewa kwel wewe kwan komandoo ni jiwe? Hata CDf akipigwa analia komandoo ni prefesional tu na technique kwan ulidhan ni nn?
 
Inasikitisha sana ukiifatilia hiyo kesi huyo mke wa Adamoo kapata tabu sana ukisikiliza ushahidi wake unaweza kutoa machozi...
 
Kuna Yule Mkuu Wa Kituo Cha Chamwino Mpaka Kesho Kimya Ndugu Zake Wanahaha Police Inajibu Mtoro Kazini
Naona hapa ilifutwa nataman kujua nini kiliendelea! Gazet la mwananchi nao sikuhiz kimya
 
Mama Tanzania ndio hii

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Lakini na chifu naye kwa nini alikubali kuingizwa mkenge hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…