Tetesi: Inadaiwa Joram Mbyella, mwanachama wa CHADEMA amekamatwa na watu wasiojulikana

Tetesi: Inadaiwa Joram Mbyella, mwanachama wa CHADEMA amekamatwa na watu wasiojulikana

kimbendengu

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
6,716
Reaction score
12,116
Leo majira ya Saa Tisa za Tanzania kijana mmoja aitwaye Joram Mbyella, na mwanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) amekamatwa na watu wasiojulikana huko nyumbani kwake Kinondoni.

Screenshot 2023-06-20 at 16-43-11 Maria Sarungi Tsehai on Twitter.png


 
..
 

Attachments

  • Screenshot_20230620-162623.png
    Screenshot_20230620-162623.png
    264.3 KB · Views: 6
Kwamba wameacha wakamata kina Mbowe waje kuwakamata watu wasio na lolote
 
Back
Top Bottom