Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23] migambo wako gym wanapasha,tiripu hii lazima masufuria ya ubwabwa na nyama yabebwe.Mleta uzi katenguliwa kiuno saa hizi anaugulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa na wakileta ujuaji tunawaletea wale vijana wa PGO wafanye yao, mmekuwa kero sana aiseeee mitaani. Biashara gani mnafanyia mpaka chooni?Hakuna nchi siyo na utaratibu. Mtahama tu
Na ndiyo walikuwa wa kwanza kuimba... "hatujinyongiiii, hatunywi sumuuu [emoji126][emoji126][emoji1739][emoji12][emoji12][emoji12]"Maneno matupu tu haya,mwaka jana kwenye uchaguzi kilichotokea mlijua wanaoadhibiwa ni wapinzani tu na nyie hayawahusu?
Sasa mtatoka na hamna kitu mtafanya na mkianza kuwa vibaka mitaani matairi yapo tutawakaanga.
Lissu aliitisha maandamano yasiyokoma nchi nzima. siku ya kuandamana hata yeye hakuonekana😃😃😃😃
Nenda Mombasa Stendi kama utaona kibanda Cha machinga,wametii sheria Bila shuruti.Buguruni pale kwa Bakhresa wameanza kubomoa wenyewe,Banana wameanza kubomoa wenyeweMaeneo gani mkuu wametii amri bila shurti hapa daslamu?
[emoji38][emoji38][emoji38]Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi
Hamkujua maana ya kusoma namba ni nini??? Hamkujua nini maana ya unyonge??? Hamkujua kwanini mliandikishwa vile vitambulisho vya ujasiriamali... !!???Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi
Tatizo mnataka huruma wakati mnaharibu utaratibu wamachinga walitumika kisiasa na magufuli akiamini anatunza wapiga kura wake matokeo yake alipo kwama kwenye kukusanya kodi akaanza kutumia mtutu wa bunduki na kuwatumia kina sabaya kufanya uny'ang'anyi wa mali na fedhaWamachinga wajue tu kuwa CCM haijawahi kuwa chama cha kuwatetea
Acha ujinga wewe,kila machinga kaishapewa eneo la kufanyia biasharaLeo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi
Fool ni wewe unayetetea ujinga,hao machinga wanalindwa na sheria ipi?Wazungu hawakukosea....
Never argue with a fool - They will drag you down to their level, Then beat you with experience!!
Wamezoea kujifanyia vitu kijingajinga walipewa sifa na mpenda sifa.Hakuna nchi siyo na utaratibu. Mtahama tu
Wamachinga wasihofu, mwaka 2024 wataruhusiwa tena kufanya biashara na kugawiwa mashati ya kijani kama maandalizi ya October 2025.Wamachinga wajue tu kuwa CCM haijawahi kuwa chama cha kuwatetea
Never argue with an idiot. You’ll never convince the idiot that you’re correct, and bystanders won’t be able to tell who’s who.Fool ni wewe unayetetea ujinga,hao machinga wanalindwa na sheria ipi?
Usiishi kwa mazoea kenge wewe fuata sheria,kanuni na taratibu pimbi kabisa