Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Mimi n mtu wa hali ya chini lakin ule uzagaaji wa machinga jijin mwanza siuungi mkono,mnatakiwa muondolewe
Hujawayi kukumbana na dhoruba... Ila siku ikikukumbuka utatamani ufute kauli yako hii...
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

Tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

Haiwezekani haiwezekani haiwezekani

Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.

Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.

Tumechoka upuuzi
Nchi lazima iendeshwa kwa kufuata sheria na taratibu.

Barabara,zina maeneo yametengwa kwa ajili ya magari,two lane,kwa ajili ya kurahisisha movement ya magari na njia za waenda kwa miguu,na mitaro. Nyinyi hizi zote mmeziba. No way. Nchi haiwezi kuendeshwa kishamba namna hiyo!

Nyinyi ni kina nani? Nyinyi ni kundi maalumu ambalo hamuwezi kuguswa mnapovunja sheria? Mnajidanganya sana.

Muwe tayari kuvunjwa miguu,kufirisiwa,na hata kwenda jela kama mtaleta ubishi.
 
Heri wewe, Mungu aliyekubariki ukawa nacho, lakini Mungu aliye mnyima Huyo ni huyohuyo aliyekupa wewe, kwahiyo kama hajampa yeye basis hata wewe pia anaweza kukunyang'anya, Chunga maneno yako kijana, upo katika hii dunia iliyojaa majanga ,shida,vita na ufedhuli wa level ya PHd


Mkuu hata ulaya na amerika kuna machinga ila sio kwa style ya wamachinga wa Tanzania...ungekuwa mfanyabiashara kwenye mij mikubwa ungeelewa nanachoongea...hata Kama ni kutafuta kipato lazima kuwe na utaratibu..huyo machinga anayepanga vitu mlangoni kwa mwenye duka unadhani huyo mwenye duka anaathirika kwa kiasi gani..kuu fikiria nje ya box...usiangalie upande mmoja tu. Lazima machinga wawe na sehemu zao za kufanyia biashara na si mbele ya maduka ya watu au barabarani.
 
Nchi lazima iendeshwa kwa kufuata sheria na taratibu.

Barabara,zina maeneo yametengwa kwa ajili ya magari,two lane,kwa ajili ya kurahisisha movement ya magari na njia za waenda kwa miguu,na mitaro. Nyinyi hizi zote mmeziba. No way. Nchi haiwezi kuendeshwa kishamba namna hiyo!

Nyinyi ni kina nani? Nyinyi ni kundi maalumu ambalo hamuwezi kuguswa mnapovunja sheria? Mnajidanganya sana.

Muwe tayari kuvunjwa miguu,kufirisiwa,na hata kwenda jela kama mtaleta ubishi.
Namba inasomwa kila mahali
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

Tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

Haiwezekani haiwezekani haiwezekani

Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.

Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.

Tumechoka upuuzi
Dah
 
Wakipatikana wenyew akili za ki hamza Hamza.....

Hiyo j3 tutasikia New things.....ila watanzania ni wavumilivu....

Na rafik angu ana BAED ila anauza mitumba mbagala.....

Serikali imebadilisha mlango na funguo....

Hongera kwa wote wenye bahati Zao duniani......

Baba angu mzazi ali wai kunambia yeye hakuwai ku husler kweny maisha yake......

Vijana na ELIMU Zao za chuo kikuu wameamua KUA chinga still inawazuia bila kuwapa the way forward.......
Elimu za chuo kikuu za kuzuia haki za wengine?
Kuziba barabara. Kuziba njia za waenda kwa miguu. Kuziba mitaro. Kuziba biashara za wengine. Basi huko chuo kikuu walienda kusomea ujinga. Wapambane na hali zao.
 
Hii nchi tayali ipo mikononi mwa mabeberu na wanalindwa, kiukweli sisi masikini hatuna chetu tena , tumesharudi kulekule kwa mkwere, kipindi kile utawala uliwakumbatia sana mafisadi na mabebari waliokua wakiumiza hii n hi, mama ntilie na sisi wamachinga tulipata tabu sana na mamlaka zilizokua zikiwalinda mafisadi na mabonyenye wao, kiukweli MUNGU sijui ni kwa nini watu wazuri wanaopigania haki kwa wanyonge huwa hawaishi muda mrefu na sijui sir god nadhalia ipi anayoitumia kuwaweka muda mrefu duniani viongozi wasio kua na hofu ya MUNGU. Ombi letu kwake mama samia asiruhusu kufuta mazuri aliyokua ametufanyia magufuri hili kuwafuraisha makabaira. Asikubali kushawishiwa na viongozi waliomaliza muda wao japo kipindi chao mbk wafanyakazi hewa walilipwa mishahara wakamshauri alejeshe kwa kasi mambo yao, watatulia jinsia ya raisi kwa kumlaghai hiki miladi yao ya kifisadi ambayo magu aliishitukia wakataka airudishe kipindi hiki, wamachinga tunafamilia mama amuogope MUNGU km mwisilamu ajuwe si wote wenye uwezo wa kwenda kura moven pick au kilimanjaro hotel wengine mama ntilie ndio zetu jijini.
Huwa mnapata Raha gani kujiita masikini au mnaona sifa
 
Hakuna nchi siyo na utaratibu. Mtahama tu
Nnapingana na wewe mkuu zipo nchi zisizokuwa na utaratibu duniani na Tanzania ni mojawapo. Kwa karibu miaka 6 sasa down the road nchi yetu imekosa utaratibu na tumeruhusu ujinga utuongoze unavyotaka matokeo yake tumefika hapa tulipo. Mambo ambayo yapo kisheria kabisa yanatuletea mijadala. Tunajadiliana nn na sheria zipo kuhusu hayo mambo kwanini tusifuate sheria zilizopo kwanza?
 
Hiyo PGO mkajadiliane kijiweni, sisi mkiambiwa pisheni mkagoma mtapigwa tu! Na ninasema mpigwe tu!!

Hii kazi hamjawahi iwacha tangu mlipokuwa na mwana chato mwenzenu. Kwani huyu naye mlimpeleka wapi?

IMG_20210930_170832_807.jpg
 
Nimeukumbuka wimbo wa prof J.. bongo darisalama...mgambo na machinga wanaposhikana mashati....

Hatimaye nimeweza kuchangia tena. Maana hata sielewi shida ilikuwa nini, jamaa wameniondolea haki za ku like, kuchangia mada wa kuanzisha uzi.

Ama ilikuwa shida ya mtandao.. @moderators
 
Ndiyo itakavyokuwa, CCM itageuka mtetezi wao, wala hawatafurushwa. Watapiga biashara kwa uhuru kabisa na wataichagua tena CCM mwaka 2025. Halafu wapinzani watakuja kuwaambia andamaneni nao watawacheka kama ulivyocheka sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo la chadema kuanzia baadhi ya viongozi na machawa (wafia Bendera) bado hawajajipambanunua kitasisi wao wamebase kiitikadi, hii kitu ni kansa kwa chama cha siasa chenye nia ya kushika dola, jenga ushawishi kwa wananchi wa kawaida walio wengi na usitafute huruma kwa kujiangalia kwenye kioo........
Teh teh teh teh...mbona una hasira sana kijana?...tatizo nini?
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

Tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

Haiwezekani haiwezekani haiwezekani

Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.

Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.

Tumechoka upuuzi
Dar wameshaanza kubomoa wenyewe bila shurti baada ya kipande Cha Airport Vingunguti kufanyiwa demonstration.
 
Pale vingunguti hakusimama hata ngedere mmoja, huwa wanasimama wale wenye alama ya damu kudadeki

Inasemekana kuna jamaa alikufa palepale kwa mshtuko lakini hata mwandish hakusogea kuuliza
 
Back
Top Bottom