Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nakuunga mkono maana hao wamachinga walijisahau sana kwa kuanza kuwashambulia kwa maneno ya hovyo wapinzani.Maneno matupu tu haya,mwaka jana kwenye uchaguzi kilichotokea mlijua wanaoadhibiwa ni wapinzani tu na nyie hayawahusu?
Sasa mtatoka na hamna kitu mtafanya na mkianza kuwa vibaka mitaani matairi yapo tutawakaanga.
Leo hii wanalipwa na mateke.