Wakapambane sasa Jumatatu ni kesho tutaona.Mwanza ilishawajaribu wapinzani lakini hakuna alama yoyote walioiacha. Ukiona watu hawawaungi mkono hao wapinzani jua walishawaona hawana jipya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakapambane sasa Jumatatu ni kesho tutaona.Mwanza ilishawajaribu wapinzani lakini hakuna alama yoyote walioiacha. Ukiona watu hawawaungi mkono hao wapinzani jua walishawaona hawana jipya.
Hapa hapa Jukwaani au mtaaniliwalo na liwe patachimbika
Jumatatu waingie mtaani tuone kama wao ni wanaume.Ndiyo itakavyokuwa, CCM itageuka mtetezi wao, wala hawatafurushwa. Watapiga biashara kwa uhuru kabisa na wataichagua tena CCM mwaka 2025. Halafu wapinzani watakuja kuwaambia andamaneni nao watawacheka kama ulivyocheka sasa.
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Ni machinga wale wale wenye vitambulisho na kadi za ccm au tusubirie wengine??Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
#tunataka kanda ya ziwa tujitenge,tunataka Uhuru wetu na tuwe nchi kamiliTutawashughulikia vizuri nyie wachafuzi wa mazingira.
Serikali iko macho. Jaribuni muone jumatatu mtawasimulia wake zenu kitakachowapata.
Mkuu, samahani.Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Ukweli ni kwamba, mtapigwa mpaka mchakae! Haiwezekani kuziba barabara namna hiyo! Yule mzee alikuwa tutusa!Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Ukweli ni kwamba, mtapigwa mpaka mchakae! Haiwezekani kuziba barabara namna hiyo! Yule mzee alikuwa tutusa!
SawaTunahakikisha baada ya miaka mitano ijayo graduates wote wa vyuo vikuu wanakuwa matching guys
Amejifunza mikwara ya vijana wa Chadema!Wewe subiri hiyo Jumatatu ifike kuja kupiga mikwara JF hakukusaidii chochote.
Hapo bado sana na lazima hao machinga warudi kwenye komon sensi zao.Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi
Watateseka sana hao kwa usaliti wao na kashifa kwa watu wa upinzani.Ngoja tuone!
Labda wahamie chatouHakuna nchi siyo na utaratibu. Mtahama tu
Wakaende kuhiji kwenye kaburiImeisha hiyo, pigeni kazi tu