Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Wabongo kwa mikwara kwenye keyboards hua hawajambo , ila uhalisia hua hakuna kabisa ,
Magufuli aliwaachia watanzania hofu na uoga tu
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Acha siasa za maji taka.
Ukiwa unasifia nchi za nje kwa miji yao kupangiliwa ni kwa sababu huo upuuzi wa machinga hawajauendekeza.

Unatamani ukaishi USA kwa sabab miji imepangiliwa, hapa kwetu mjini kama soko la mabilinganya, acheni kutumika kisiasa miji lazima iwe na mpangilio na utaratibu
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Ndio tatizo la kumfuga mbwa na kuwa na mazoea nae mpaka chumbani...kuna siku atakufuata mpaka Masjid!

Damu batachuruzika!
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
ivi mwanza ipo nchi gani ?kama tanzania watnzania hawana moyo wa kuvumilia vilungu shauli yako utabaki peke yako.kama mwanza ipo kenya sawa
 
Tatizo ni viongozi. Kama ilivyokuwa kwa Mh. Rais Magufuli ndiyo ilivyo kwa Mama Samia. Yaani viongozi wanashindwa kufuata maelekezo kabisa. Hivi wanashindwa nini kushirikiana na sekta binafsi kuwapanga machinga??? Hivi mpaka rais aje kusema namna ya kuwapanga machinga????
 
Viongozi wa wafanyabishara wadogo almaaruf Machinga wa Pamba Road

 
Machinga Eneo la Stendi ya Daladala Mwanza, mwaka 2019

 
Maneno matupu tu haya,mwaka jana kwenye uchaguzi kilichotokea mlijua wanaoadhibiwa ni wapinzani tu na nyie hayawahusu?

Sasa mtatoka na hamna kitu mtafanya na mkianza kuwa vibaka mitaani matairi yapo tutawakaanga.
Hawa wajinga uharibifu wao wa miundombinu na kuvuruga utaratibu wa mipango miji wanataka tuwasapoti,mtaondoka kwenye maeneo yasiyo rasmi na lolote hamtafanya.
 
Wakati watumishi wananyanyasika mlifurahi eti wakomeshwe wakome,

Wakati wafanyabiashara wanabambikiwa makodi ya kukomoa mlifurahia wacha wanyooshwe

Wakati wapinzani wananyanyasika kuwatetea mliwakejeri mkasema wakome wanepata kiboko yao.
Pambaneni na hali zenu kwa hakika hawa viumbe wanaoitwa wanyonge hawapaswi kuonewa huruma

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Sukuma gang Vs Fisiemu
 
Mwendazake kaacha smetuaribia nchi kwa mambo yake ya kuweka pomposity kwenye uongozi wa nchi. Na haya Mambo itachukua muda hadi nchi kurudi kwenye utaratibu. Uonevu wa polisi,kubambikia kesi,suala la chanjo kusuasua na mengine mengi ni legacy ya mwendazake. Ngumu hii ya machinga. Ngoja tuone busara za viongozi tulionao ktk hili.
Kwahiyo mwendazake aliharibu hadi akili za chadema wote?
 
Back
Top Bottom