Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi

nimepita leo mwanza muda wa jioni.nimesikia hilo tangazo .

je ! maeneo wamewatengea !

ila kinachotokea sijui
 
Watahama,tutawarudisha tena barabarani ikifika karibu na Oktoba 2025,na walivyowapuuzi watafurahia na hawatafanya makosa kwenye boksi la kura kwa kutupa tena jembe na nyundo ulaji na tutawafulumua tena Aprili 2026.
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Sema umechoka wewe siyo kuwasemea wengine na wajinga kama nyie ndiyo mnairudisha nyuma Afrika kwa kukamia vitu ambavyo hamviwezi,huna ubavu wa kufanya lolote hiyo j3 mbwa tu wewe wenye kutenda hawajitapi kwenye mitandao bali utaona majibu kimyakimya

Mjusi wa blue tu weee
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Nyie ndo mmemwaga vitunguu pale round about ya Nyerere?
 
Leo mchana nilipita mitaa ya Nyerere road, pamba pamoja na mtaa wa rumumba, Kwa kifupi tu ni kwamba, jumatatu kutakuwa na Vita Mwanza.
 
Nakukumbusha kwamba uchaguzi umeshaisha na kula mmeshatoa,ni mda Sasa WA kufuata Sheria, samahani sana ndugu mnyonge.tusubiri Tena hadi 2024
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi

A1EBA637-D7B8-4BEE-BB9C-B0DC68FBCAE0.jpeg
 
Machinga ni mtaji wa kisiasa wa chama kileeee kwenye chafuzi kuu.....kuelekea 2025 mtatafutwa tena mpange bidhaa zenu kwenye lami.
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Fuateni utaratibu utakaokuwa umewekwa ili msipate hasara ya kupotelewa na bidhaa zenu!!
 
KABLA HAMJAFANYA CHOCHOTE SOMENI HII



Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
 
Back
Top Bottom