KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Kutoka hapo walipo ndio kupangwa kwenyeweTatizo ni viongozi. Kama ilivyokuwa kwa Mh. Rais Magufuli ndiyo ilivyo kwa Mama Samia. Yaani viongozi wanashindwa kufuata maelekezo kabisa. Hivi wanashindwa nini kushirikiana na sekta binafsi kuwapanga machinga??? Hivi mpaka rais aje kusema namna ya kuwapanga machinga????
Ama what is ur definition ya 'kupangwa'!