Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Tatizo ni viongozi. Kama ilivyokuwa kwa Mh. Rais Magufuli ndiyo ilivyo kwa Mama Samia. Yaani viongozi wanashindwa kufuata maelekezo kabisa. Hivi wanashindwa nini kushirikiana na sekta binafsi kuwapanga machinga??? Hivi mpaka rais aje kusema namna ya kuwapanga machinga????
Kutoka hapo walipo ndio kupangwa kwenyewe

Ama what is ur definition ya 'kupangwa'!
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
MTAONDOKA Kwani haya sio maeneo husika na salama na ndani yenu wako vibaka. Tatizo likitokea mnavamia badala ya kusaidia. Huu ni uhuni!

Hivi nanyi mnajiita wafanyi Biashara kweli au WACHUUZI?! Unapangaje matunda barabarani. TANROAD Mko wapi?

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Wakati watumishi wananyanyasika mlifurahi eti wakomeshwe wakome,

Wakati wafanyabiashara wanabambikiwa makodi ya kukomoa mlifurahia wacha wanyooshwe

Wakati wapinzani wananyanyasika kuwatetea mliwakejeri mkasema wakome wanepata kiboko yao.
Pambaneni na hali zenu kwa hakika hawa viumbe wanaoitwa wanyonge hawapaswi kuonewa huruma

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Sheria ni msumeno mkali sana
Pole kwa wamachinga
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Hilo kaa la moto la wamachinga CCM wamelichochea wenyewe, kwakutengeneza Sera mbovu kwaajili ya kufanya siasa 'uncertainty policy' tumekuwa tukiandika humu waliziba pamba masikio
 
Kila mmoja wetu afuate Sheria za Nchi,hakuna aliye juu ya Sheria haiwezekani mtu alipe Kodi zote stahiki hala ukapange Biashara mbele ya Biashara yake.

Mkijifanya kufanya Vurugu mkono wa dola upo.
Machinga wana mikwara sn wkt hawafati sheria na kodi hawalipi
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Sis viongozi wa Kariakoo , leo tulikuwa na mkutano na ndugu zetu matching guys, lengo letu ni kutengeneza na kuimarisha taifa lenye uchumi wenye nguvu wa kimachinga
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Chief hizi hasira ni halali
Ila hazitakusaidia mbele ya mkono wa sheria...jiulize kisheria kama una haki ya kuwa hapo kwenye hilo eneo?una vibali ama ulivamia?.

Kisheria...Kodi haidaiwi kirejareja
Lazima uwe na 'registered place of business',leseni, vibali nk

Kuepusha dhahama
Jiungeni mkodishe fremu maisha yaendelee

Sanasana bomoa bomoa itapita usiku
Hifadhini mali zenu mapema
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Ikiwa mlio wa bomu la machozi tu watu kukimbia ka swala katimuliwa na chui je bunduki na risasi halisi mtaweza kuhimili?
 
Sis viongozi wa Kariakoo , leo tulikuwa na mkutano na ndugu zetu matching guys, lengo letu ni kutengeneza na kuimarisha taifa lenye uchumi wenye nguvu wa kimachinga
Mnashauriana kufuata taratibu lakini?
Au mna maoni gani kuhusu hilo?
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Subutuuuu! Wabongo kwa mdomo! Ila matendo O.

Watendaji hawaongeagi. Ni action tu.
 
Machinga wa jiji la Mwanza fanyeni mambo kisomi, mkitumia nguvu mtakwama mapema!
Najua wengi mpo humu....Watafute wabunge wa majimbo ya Ilemela, na Nyamagana pamoja na madiwani wote....waambia bila kuwaonyesha wapi mkafanyie biashara wasahau kura zenu 2025 wasahau....mtafute Mbunge Msukuma Kasheku muombe ushauri wa kiufundi...
TAfuteni wagombea ubunge na madiwani walioondolewa au kushindwa kwa hila 2020 panga nao mbinu za kusamabaza chuki kwa Mabulas kuanzia kwa machinga , mama/baba Lishe.

Mwisho kuweni makini na viongozi wenu....karibia wananuliwa!
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

haiwezekani haiwezekani haiwezekani


jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,



Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu

Tumechoka upuuzi
Tutawashughulikia vizuri nyie wachafuzi wa mazingira.

Serikali iko macho. Jaribuni muone jumatatu mtawasimulia wake zenu kitakachowapata.
 
Lissu aliitisha maandamano yasiyokoma nchi nzima. siku ya kuandamana hata yeye hakuonekana😃😃😃😃
Ndio hapo sasa hao amachinga wametumika sana na mfumo nyonyaji wa nchi. Sasa wajaribu waone.


Kipigo cha mbwa koko chaja.
 
Watakuja na PGO kuwashughulikia, nanyi pia kanuni na sheria za miji zinawataka mfuate sheria bila shurti wala vurugu.

Wakati wa matamko ya kisiasa au kuonesha kuwa ni mpiga kura wa CCM mwenye kadi ya chama umekwisha , sasa sheria ndiyo inatakiwa kutawala bila ubaguzi wa vyama.

Polisi wamechoka kutumika kisiasa na chama tawala.

Maendeleo Hayana Chama !
Maendeleo hayana vyama.

Sukuma group watanyoka.
 
Ungekuwa unaijua siasa sasa hivi ungeficha hizi kumbukumbu mbovu, ungejifanya unasikitika nao ili hatimaye wakuone wewe una afadhali kuliko washindani wake. Siasa ni mchezo wa mahesabu ya kimkakati, kuvizia hisia za watu dhidi ya mshindani wako.
Hatuko kwenye siasa za opportunistic. Hao unawalilia leo kesho wanakugeuka.

Twende hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom