Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Unajiona umeandika kitu Cha maana.....Sema tu MUNGU sio mwanadamuElimu za chuo kikuu za kuzuia haki za wengine?
Kuziba barabara. Kuziba njia za waenda kwa miguu. Kuziba mitaro. Kuziba biashara za wengine. Basi huko chuo kikuu walienda kusomea ujinga. Wapambane na hali zao.
Watu kama nyie mkipewa nafasi mbona watu watakoma....
Nimesoma aina ya uchangiaji wako kweny thread mbalimbali.....Nimegundua wew ni mtu wa type gani...... So hunisumbui
Alie andika unakuta ni KKB yaani KULA KULALA BURE (KKB) Au LUMUMBA BUKU 7
Na kichwani mwa KKB Au LUMUMBA BUKU 7 Huwezi pata Cha maana mpaka yamkute.....
Si itaji debate na wewe fanya kama hujasoma maoni yangu....