Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Jamaa utafikiri alikuwa anachapisha helaUna mkumbuka ruge malira??, ali kuwa ana toa sadaka 160m
Hapo ndio utajua hela ni mchawi
Mpaka maaskofu wakaingia mtegoni dini wakaiweka pembeni
Cheza na hela wewe 😄 🤣