Inadaiwa kuna kundi fulani CCM linatamani Lissu ashinde ili wapate sababu ya kumpumzisha mtu wao

Inadaiwa kuna kundi fulani CCM linatamani Lissu ashinde ili wapate sababu ya kumpumzisha mtu wao

Kwakweli yule mama Hawezi lupambana na Lissu Jukwaani, labda ndo maama mbowe alitaka awaondoe hawa watu ili Mama Apate ahueni
 
Lissu akishinda watakuja na hoja ya kuweka mgombea strong wa kupambana na kuigaragaza CHADEMA hapo ndipo bi mkubwa atawekewa washindani na Tog.....i Mav.....a ambaye kwasasa ni balozi huko kwenye nchi moja ya Asia ndiye atashinda na kupeperusha bendera ya chama.

Bimkubwa usalama wako ni kumpigania mjomba angu aendelee kuongoza kikoba kwa miaka mingine 5 vinginevyo anza kufungasha mabegi.
Ndoto
 
Lissu akishinda watakuja na hoja ya kuweka mgombea strong wa kupambana na kuigaragaza CHADEMA hapo ndipo bi mkubwa atawekewa washindani na Tog.....i Mav.....a ambaye kwasasa ni balozi huko kwenye nchi moja ya Asia ndiye atashinda na kupeperusha bendera ya chama.

Bimkubwa usalama wako ni kumpigania mjomba angu aendelee kuongoza kikoba kwa miaka mingine 5 vinginevyo anza kufungasha mabegi.

Maza hana nguvu ya kupambana na Lissu. Anachotegemea ni tume na POLICCM kufanya mambo yao kama aivyofanya MKWE MWENYE KIFUA KIPANA Nov. 2024.
 
Ni mda muhafaka wa kuwapa madini ccm , ili inchi isonge mbele lazima tuwe na vyama makini , Mie sio ccm na siwezi kuwa ccm ,ila nitawaidia.

Ccm mnaenda shindwa vibaya sana na chama changu Chadema,je wajua hili ?

Wazee wa kazi wajao sio mchecho , mmezoea kutumia ujanja kwenye chaguzi zenu , ila elewa Dunia nzima sasa imeelekeza network tz , kuna kosa ccm mmefanya na sasa hili kosa halowezi rekebishwa tena.

Siasa ni sayansi wakuu , na mchezo mchafu ,sasa mmekwisha ndugu zangu, ccm mnaenda kufa kifo kibaya sana.

Wakati wa Mungu umefika, kwa sasa chadema haikamatiki tena , nataka ccm endelea kuwepo , kama chama pinzani ila hii nafasi pia mnaenda kuikosa .

Ccm kwa heri ya kuonana
 
Hii inaweza ikawa sahihi kabisa.

Maana mama yule hanaga kabisa hoja akiwa kwenye jukwaa.

Watu wengi huja kwa sasababu wamelipwa posho.
Mbaya zaidi upande wa pili wanazo hoja nzito nzito . Bandari, wamasai , airport , utekaji nk hizi zikiwa well communicated kwa wananchi bi mkubwa atakuwa kwenye mtumbwi alfajiri na mapema. Tundu hiyo kazi anaiweza
 
Hapo ndo ujue hii nchi 80% n wanawake wenye korodani…. Wanaume waoga hv ni bora warud jikoni kukata vitunguu tuu, watuachie jfm yetu
 
Hii inaweza ikawa sahihi kabisa.

Maana mama yule hanaga kabisa hoja akiwa kwenye jukwaa.

Watu wengi huja kwa sasababu wamelipwa posho.
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣😂
 
Lissu akishinda watakuja na hoja ya kuweka mgombea strong wa kupambana na kuigaragaza CHADEMA hapo ndipo bi mkubwa atawekewa washindani na Tog.....i Mav.....a ambaye kwasasa ni balozi huko kwenye nchi moja ya Asia ndiye atashinda na kupeperusha bendera ya chama.

Bimkubwa usalama wako ni kumpigania mjomba angu aendelee kuongoza kikoba kwa miaka mingine 5 vinginevyo anza kufungasha mabegi.
Weeh jamani vipi Tena huko ndani ndani Kuna Giza Giza lipi Tena ?
 
Mwenyekiti is holding the four aces ndani ya Chama ndivyo ilivyokuwa miaka yote na ndivyo ilivyo hivi sasa na ndivyo itakavyokuwa hapo baadaye !

Hakuna wa kumtingisha !
Labda atake mwenyewe !
Na Ule upande wa pili wa shilingi huko pia yeye ndiye top top manyota hakuna wa kumbabaisha !

Tukisema ule msemo “ Locuta causa finita muwe mnatuelewa Bandugu !
Iko vile na ndivyo itakavyokuwa !
Au nasema uongo ndugu zanguni ????!
😂😂👍🙏🙏
 
Back
Top Bottom