Inadaiwa kuna kundi fulani CCM linatamani Lissu ashinde ili wapate sababu ya kumpumzisha mtu wao

Ccm hali mbaya, 2025 watz jiandae kwa mabadiliko.

Simuoni wa kushindana na kimbuga kijacho labda angalau ,Mtoto wa Nyerere asimame ambae ni mkuu wa mkoa au Mtaka ,vinginevyo ccm mtadhalilika sana
 
Huyo Togolan ana mtaji gani wa kisiasa, au unamsagia kunguni awekwe benchi chap chap?!!
 
Ccm hali mbaya, 2025 watz jiandae kwa mabadiliko.

Simuoni wa kushindana na kimbuga kijacho labda angalau ,Mtoto wa Nyerere asimame ambae ni mkuu wa mkoa au Mtaka ,vinginevyo ccm mtadhalilika sana
Kwani hawataiba kura kama siku zote?
 
Atatenguliwa mtu sasa hivi.
 
Kwaiyo jirani ya Kiduku, jamong ndiyo amepangwa kushindana miss ewala ewala
 
Kama Kuna mtu amewaza Kwa akili kubwa tangu umeanza mwaka 2025 ni wewe!!

Ila vumilia matusi kutoka Kwa chawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…