Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Actually, I have a problem understanding when you use that language; you do not know the language, so please avoid using it.
I advised you to relax before,

avoid rushing if you want to understand things gentleman🐒
 
Wewe ni shetani kweli kweli; kwenye hili sitanii hata kidogo, na najua wewe mwenyewe unajitambua hivyo.
unsing'ang'anie kwenye ulimwengu wa miungu huo ni ushirikina 🐒

amini na kumshukuru Mungu ambae ndie baba yetu mwema katika kila jambo 🐒
 
I advised you to relax before,

avoid rushing if you want to understand things gentleman🐒
If you can make an effort to write clearly so I can understand your sentences, then I have no problem responding to them even when I know they are the work of the devil himself.
 
unsing'ang'anie kwenye ulimwengu wa miungu huo ni ushirikina 🐒

amini na kumshukuru Mungu ambae ndie baba yetu mwema katika kila jambo 🐒
Hakuna anaye kung'ang'aniza, tabia yako na vitendo vyako ndivyo vinavyo kuhukumu.
Wewe upo humu kufanya kazi ya kishetani kuwaumiza waTanzania.
 
amini na kumshukuru Mungu ambae ndie baba yetu mwema katika kila jambo
Mawazo yako na vitendo vyako siyo vya ki-Mungu. Kila unacho kisimamia unapokuja humu JF ni vitendo na fikra za kishetani, ambavyo havina neema kwa waTanzania.
Hilo ndilo unapaswa kulitambua.
 
anayo muda mrefu tu,
ni kama Dr slaa tu alivyo nayo 🐒
CCM kilikuwa ni chama wakati huo siyo hii takataka iliyojaza uovu.
Usifikiri tunapoisema CCM ukadhani hatukuwahi kuwa sehemu ya chama hicho, kama hao ulio wataja.

Na kama unajifanya huelewi ninacho kueleza; haya uliyo weka hapa ni mfano mzuri wa ushetani wenyewe. Lengo lako hapa ni kupotosha wasiojuwa.
 
Hebu ngoja. Wewe usiye kuwa kwenye upinzani, lakini unajulikana kuwa sehemu ya hao hao wanaofanya maovu, hata kama hii ni timu tofauti; unayo nafuu gani hasa!
Hata kama umenichagulia wapi niwepo ila viongozi wenu wamekosa aibu, na bado manaendelea kuwaamini
 
Hata kama umenichagulia wapi niwepo ila viongozi wenu wamekosa aibu, na bado manaendelea kuwaamini
"Viongozi wenu"? Kwa hiyo na mimi unanichagulia chama?
Wewe toka enzi za Magufuli unajulikana ulipo, kwa hiyo nimejibu nikijuwa unaposimamia.
 
"Viongozi wenu"? Kwa hiyo na mimi unanichagulia chama?
Wewe toka enzi za Magufuli unajulikana ulipo, kwa hiyo nimejibu nikijuwa unaposimamia.
😄
"Viongozi wenu"? Kwa hiyo na mimi unanichagulia chama?
Wewe toka enzi za Magufuli unajulikana ulipo, kwa hiyo nimejibu nikijuwa unaposimamia.
20240815_212711.jpg
 
Mkuu 'misasa', sasa hii hapa unaniwekea mimi inanisaidia kitu gani hii!

Si haya yamejadiliwa toka jana/juzi hapa; na mimi nikaweka maoni yangu?
Huu ulikuwa ni mchango toka kwa watu binafsi, hata kama ni watu walioko ndani ya CCM. Hii si pesa ya CCM, au huelewi?
Hii pesa imetoka kwenye account ya CCM?
Hawa walio changa, pamoja na kujihusisha na CCM wakienda kupiga kura za kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wa nchi hii, kura hizo unataka azikatae?
 
Back
Top Bottom