Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usiku.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
 
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Kama Kweli Kuna Mungu Mbinguni ninayemwamiji, Mungu wa Eliya basi Mdude Ataishi hatakufa ktk jina la Yesu.
 
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Kumbe kweli ametekwa na police
 
Ee Mungu Wetu sikia maombi yetu
Kama kweli Yesu anafanya kazi duniani, Na Ukuu wake na Utukufu wake uonekane sasa

Huu sio Muda wa kumbembeleza Mungu.

Wakati wa Musa alikasirika na kutaka kuwabwaga waisraeli kama Mungu asingeingilia kati angewabwaga jangwani.

Wakati wa Eliua akiteswa na Wafaume wa Moabu alimwita Mungu kwa Lazima ajidhihirishe la sivto taifa lote la Israel litaamini Wafuasi wa Miungu ya Ba-al. Ndioo Mungu akajitokeza na Dunia nzima ikajua.
 
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Mkimkuta huko mtamchukua?
 
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Kila damu inayomwagwa bila hatia italipwa Inshaallah
 
Halafu wapo viongozi washamba kila weekend wapo madhabauni na wengine hulia kabisa mbele za watu. Uku week days wanauwa watu kisa tu wana maoni tofauti na yao.
Tofauti ni kubwa kati ya maoni na matusi
 
Siku hizi mtu akikamatwa na polisi ametekwa
 
Back
Top Bottom