Inadaiwa Picha maarufu ya Ronaldo na Messi ilikuwa edited bila wao kukutana, kutokuwa marafiki ndio chanzo kikuu

Hilo yai vipi mbona lina likes nyingi limefanyaje, au ndo ile yai na kuku kipi kilianza, basi wangemweka na kuku tuje moja
 
Kwa hiyo ww uliamini hiyo ni picha halisi?
 
Sio maadui na wala sio marafiki.

Imetrend kwa sababu hao jamaa ni watu maarufu zaidi kwenye ulimwengu wa mpira.
Na ni nadra kupata picha wakiwa pamoja.
 
Sasa kwann limetrend hvyo,ebu na wew jaribu kusimamisha yai
Tunaishi katika dunia ambayo ujinga au mambo ya kijinga ndio yanayopata umaarufu na heshima kubwa katika jamii, wakati mambo ya maana na umuhimu yakipewa hadhi ya chini na kupuuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…