Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Duh....
 
Shetani hana rafiki , vijana jifunzeni mambo haya
Wewe nawe umeanza kuzeeka na unashindwa tafakari vizuri..

Nilikwambia jana ujinga wote huu unaoendelea ni kutokana na mapungufu ya kikatiba.. Rais anafanya makosa ila hahusiki yeye anakuja husika aliyetumwa..

Wewe na mwenyekiti wako leo mko upande wa Mama..mnajikuta mko safe..

Atayefuatia atawakomesha kwa kuwaondoa wote ambao nyie leo mnafurahia. Komoa ni kukomoe.. KATIBA ya hovyo kabisa..
 
Let's wait and see vyura watabweka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…