yesamrich
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 2,520
- 4,526
Hata smjui diwan wangu hata nakaa sijui yautwaje[emoji1787]Mkuu jaribu kuvuta waya umuulize diwani wa kata yako [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata smjui diwan wangu hata nakaa sijui yautwaje[emoji1787]Mkuu jaribu kuvuta waya umuulize diwani wa kata yako [emoji23]
Unamjumbuka yule sylvanus mzeruWana viapo hao ,hata kama hakubaliani na maamuzi ya mama inabidi akubali otherwise "Firing Squad" watafanya yao kama kwa KOMBE.
Bado aseeeHujampata tu mkuu
Mm nasoma tu cmnts [emoji1]
Ova
Wapi uliwahi kuona askari anajiita raia?Kumbe askari sio raia?
Ya madereva boda boda wa "tazara" walimaliza kazi
Mkuu unataka niandamane!??Katiba ya hovyo, lakini ukiambiwa udai katiba mpya unasema katiba haileti ugali mezani.
Wapi uliwahi kuona askari anajiita raia?
Ww hadi sasa upo hai una faida gani zaidi ya kujaza vyoo vya mtaa wenu.Mkuu unataka niandamane!??
Tupigwe mabomu tufee...!!
Ya madereva boda boda wa "tazara" walimaliza kazi
Kwani ametaja jina ??? Sisi tunamuongelea kajala wa harmoniser baada ya mtumwingine kuteuliwa cheo cha umenejq pale konde gang harmoniser akamteua awe mama wa nyumbani akagoma saizi yukonkwao safe houseJamii forum. Ile fact check yenu imeishia wapi? How comes mtu anawaza jambo tu alafu anaweka humu alafu mnaliacha?
Kwahiyo mi nakunya vyoo vyote mtaani kwetu sio!??Ww hadi sasa upo hai una faida gani zaidi ya kujaza vyoo vya mtaa wenu.
Hahahahahaaaa!!! Kifo pekee ndio solution kwa mtu kama huyo, zaidi ya hapo ni kama ile ngoma ya Kanye West kwenye Donda “I make your security at risk”… “they’ll be like we ain’t getting paid much for this “ Saamia atamuelewa Ye…Wanakupekua mpaka kwenye ubongo ?
Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.
Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu[emoji120][emoji120]
Nakumbuka 2017 akiwa Katibu Tawala mkoa wa Kagera, alinisaidia sana na msaada wake najivunia mpaka leo.Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.
Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu🙏🙏
Story ya kutunga mmeidandia na Ku extend kitu ambacho hakina ukweliShetani hana rafiki , vijana jifunzeni mambo haya