Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Jamii forum. Ile fact check yenu imeishia wapi? How comes mtu anawaza jambo tu alafu anaweka humu alafu mnaliacha?
Kwani ametaja jina ??? Sisi tunamuongelea kajala wa harmoniser baada ya mtumwingine kuteuliwa cheo cha umenejq pale konde gang harmoniser akamteua awe mama wa nyumbani akagoma saizi yukonkwao safe house
 
Kwani aligomea teuzi..!!?
Inasemekana

1672944244207.png
 
Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.

Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.

Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu[emoji120][emoji120]
IMG-20230105-WA0026.jpg
 
Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.

Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.

Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu🙏🙏
Nakumbuka 2017 akiwa Katibu Tawala mkoa wa Kagera, alinisaidia sana na msaada wake najivunia mpaka leo.

Yatakwisha tu brother na tutaenda kulima zetu manyara
 
Watu bana 😊😊😊... binafsi nawashangaaga sana hasa ndugu watanzania wenzangu. Hivi mnafkiri mambo nyeti yanayoendelea kwenye idara huwa yanafahamika kizembe na kirahisi namna hiyo?! Wale sio watu wajinga wajinga na wa hovyo kama mnavyodhaniaga na kudanganyana au kudanganywa!... inawezekana kwenye mnayohisi au kusema mnayafahamu kwenye asilimia kumi (10%) kwa taarifa yenu hata asilimia moja na nusu (1.5%) haijafika.

Tujifunze kushkuru mungu kwa amani iliyopo mpaka mnakuja kuharisha hapa vya hovyo.
 
Back
Top Bottom