Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

Una matatizo ya akili wewe ,usinilazimishe,hatujuani,forum si ya kwako,uzi si wa kwako,uwe na adabu tafadhali
Kama huamini usiwatusi watu hovyo tena usiowajua
 
Ni utapeli mzuri sana,, maana hata ye mwenyewe unaweza kuta mpaka leo hajui kama ametapeliwa
Ndio ni tapeli sasa hivi anaukimbilia ubillionaire huku anaangusha ma mansion Mbeya ana mahekari ya kutosha dadadeq wajinga wanapeleka sadaka tu, wao wanabaki masikini yeye anazidi kutajirika, Mwamposa Hana miujiza ndio maana kuna kamsemo kake ka mtego hua anauliza "Nani kakutendea miujiza ?" Sasa hapo kuna majibu mawili moja ni Mwamposa na mbili ni Yesu na wengi wamekua wakisema Yesu Ila moyoni kimoyomoyo wanasema Mwamposa, mfuasi wa kibweteere ni mfuasi wa kibweteere tu
 
Una matatizo ya akili wewe ,usinilazimishe,hatujuani,forum si ya kwako,uzi si wa kwako,uwe na adabu tafadhali
Kama huamini usiwatusi watu hovyo tena usiowajua
Makasiriko ya nini wewe ? Una maluweluwe msongo wa mawazo unahitaji mwanasaikolojia akusaidie sio kujilisha maluweluwe yasiyo na maana
 
Unayo wewe,mimi niko salama
Nini ? Nimekwambia Mwamposa unaempigia DEBE km yeye kweli ana miujiza na anaponya Nampa sample specimen mbili moja Muhimbili hospital na ya Pili Amana hospital zote zipo Dar, aende pale akafanye uponyaji wale wagonjwa wapone wanyanyuke vitandani wawe wazima watembee wakiwa hai na afya tele Tena kwa bashasha live live live on Camera km anavyopenda mbwembwe na hio akafanye live live on Camera arushe kwenye TV yake, kinyume na hapo yeye atabaki kua tapeli tu km Babu wa Loliondo Mzee Samunge
 
Mpe pole,lkn amtumainie Mungu wa kweli,asirubuniwe na hawa watumishi wa mchongo.
Sikio la kufa halisikii dawa hakuna wa kumzuia kwenda kwenye ibada za Mwamposa maana yeye sio mtoto mdogo ni mtu mzima na ana shughuli zake na mji wake, yeye anaamini siku moja atapona kupitia Mwamposa Ila hakuna hata dalili za kupona hali ipo vile vile
 
Hapo kwa kiwete mkuu unatafuta kuumbua watu, kwamba kiwete wa kwenye wheelchair anywe maji na mafuta ya upako mara paaap aanze kwenda kwa miguu. Wengi wanaoshuhudia ni ile ya kuumwa ukimwi sijui kansa, lakini wengi wetu hao watu hatuna historia nao hivyo ni ngumu kuthibitisha.

Nilichojifunza kwenye hii miujiza ya mwamposa ni kwamba vilema na viwete either hawapo kabisa au hawana haja ya kuwa wazima maana sijawahi kuona hapo kiwete aliyeletwa laivu na kuanza kutembea, labda ni kwa sababu hawana uwezo wa kukanyaga mafuta maana hawatembei.​
 
Hakuwa na uwezo huo. Zile ni blah blah za kutengeneza pesa tu
 
Full usanii/mazingaombwe
 
Hana hio miujiza ya uponyaji sijui mtu anaumwa jino amponye jino lisiume hio miujiza hana yeye ana miujiza ya waganya wa kienyeji utasikia wachawi sijui kufanya nini wachawi hivi na hivi kwa hio ajenda yake na ibada zake ni ya kichawi zaidi ni Cult ile ndio maana hawezi kuponya au kutengua uumbaji wa Mungu, mtu kaumbwa kilema amezaliwa hivyo leo hii wewe ujitie eti unataka ukatengue uumbaji eti unamfanya atembee km wengine kitu ambacho sio kweli
 
Duh! kama wanafanya mazingaombwe kwenye kazi ya Mungu hawa watu watakuwa wana roho ngumu sana.
 
Una tatizo kama ambavyo kuitaja hiyo miujiza ni tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…