Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

Mwamposa anasadaka yake inaitwa SADAKA YA KUJIMALIZA hiyo sandakan unatoa pesa yote uliyokuwa nayo mpka nauli yaan akikisha umejimaliza kweli [emoji1][emoji1][emoji1]baada ya hapo utaanza kuona miujiza
Duh hiyo hatari sana

Kweli unajimaliza

Ova
 
umeongea halafu ukajijibu mwenyewe,kama kweli yeye ni mchungaji wa kweli na unamlinganisha na Yesu,basi mwambie awalishe watu wawili tu,yaani saahani moja ya chakula izalishe nyingine
 
[emoji38]

Ova
 
Au kwanini wanaotapika hawatapiki pale mbele ya mtumishi wanaenda tapika kwenye majani?

Kwanini wakazi wa hapo hapo Kawe sio waguswa kwenye hayo mambo na wapo wengi wana matatizo kama yote
Sinema tu zile

Jamaa ni tapeli

Na nashanga serikali inamlea

Ova
 
Mathayo 24:24
Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
 
Siyo kipimo cha imani,kuna aliyemfufua hata mende au inzi?achana na binadamu
 
Mwamposa anasadaka yake inaitwa SADAKA YA KUJIMALIZA hiyo sandakan unatoa pesa yote uliyokuwa nayo mpka nauli yaan akikisha umejimaliza kweli [emoji1][emoji1][emoji1]baada ya hapo utaanza kuona miujiza
Ona sasa ujinga huu wa kiwango cha SGR.
 
Kwa hiyo ukanunua ya buku zingine ukatia mfukoni. Safi sana!!
 
Yesu Alisema Mkiniamini Mimi Mtafanya Zaid ya Haya nifanyayo
 
Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.

Ufunuo wa Yohana 12:11
 
Ninae andika hapa sio layman....hata kama hauna Imani...jarib kufanya trial hapo kawe Kwa MWAMPOSA.......

Nenda na ajenda yako yoyote pale #Asap
Utajibiwa mpaka ushangae....
Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.

Ufunuo wa Yohana 12:11
 
Sinema tu zile

Jamaa ni tapeli

Na nashanga serikali inamlea

Ova
Ukiwagusa hao unakosa misaada nikama Mashoga tu


Lundo la manabii na mitume fake Ni Moja ya agenda za Freemason

Sawa sawa na Agenda za Ushoga , wanawake kuwa watawala ,


Ili uwe nabii TZ Kuna protocol unatakiwa uzifate Kisha Serikali haitakugusa hata uwalishe watu mikojo
 
Ninae andika hapa sio layman....hata kama hauna Imani...jarib kufanya trial hapo kawe Kwa MWAMPOSA.......

Nenda na ajenda yako yoyote pale #Asap
Utajibiwa mpaka ushangae....
Mwamposa Ni Tapeli

Hivi mnadhani wote Ni misukule ?

Kwanini wale waliokufa kule Moshi hakuwafufua?

Waliojeruhiwa hakuwaponya ...

Lini mwamposa aliponya kipofu au kilema asiye na miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…