Inafikirisha sana, kwa utajiri wa mali na biashara anazofanya Mbowe ni wa kuchangiwa? Au ndio kuumizana tu Kichademachadema?


Ujalazimishwa! Hata Kanisa Catholic Ni Tajiri Sana Ila kila siku lapitisha bakuli...

Mbowe is in jail for the benefit of this country, who can do that? All his family suffers!

Kuna watu wengine akili Zenu Za kuvukia tu Barabara, you do not think beyond that!
 
Utaratibu wa kuchangia upoje? Ni vema tukcchangia mtu huyu anayoipigania Tanzania njema ya kesho dhidi ya hawa baradhuli wanaowatesa na kuwaonea Watanzania kwa madhira mbalimbali.
 
Zitaje Mali hizo.
 
Take huu mfano. Check rasilimali tulizonazo nchi hii.. halaf mikopo na misaada daily? Inamaanisha tanzania ni ya kuomba msaada?
Umeishia la ngapi kielimu? La pili?
 
Kwa miaka kama mitatu hivi iliyopita , Bwana Freeman kapita kwenye mawimbi makubwa sana, biashara zake zote walizi frustrate,, hivyo kumchangia siyo vibaya
 
Inasemekana K-VANT inapunguza nguvu za kiume na akili!!
 
Nini kinakuwasha? si ujkune kwa kipande cha chupa?
Tunachanga sisi wewe nenda kakojoe ukalale!
 
Reactions: Qwy
Kumchangia mtu au taasisi huwa haijalishi uwezo wa huyo mtu au hiyo taasisi bali ni kuonyesha MSHIKAMANO..........
 
Reactions: Qwy
Haikuhusu
 
Unashangaa ya Mbowe! Kilichomtoa Ndugai Uspika unakijua? Alipohoji tu kwamba kwanini tutembeze bakuli wakati tuna raslimali za kutosha alikiona cha moto.
 
Reactions: Qwy
Hata kwenye harusi za matajiri tunachangia kama njia ya kuonyesha umoja, ushirikiano na mshikamano katika jamii. Ukijifanya wewe unazo hutaki watu wakuchangia na wao wanaweza kukataa mchango wao hata kama ni wahitaji
 
Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipoi ya kesi inayomkabili? Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
Pilipili usizozila zakuwashiani?
 
Harusi isiyo yako unaivalia shela ya nini...waachie CDM na mambo yako wewe endelea kupanga ya huko kwenu ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…