Sii mchezo mwanawane. Tanzanite unayo wewe lakini wanufaika wakubwa ninjamaa amabao akili zao wanazitumia vizuriDuuh! hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sii mchezo mwanawane. Tanzanite unayo wewe lakini wanufaika wakubwa ninjamaa amabao akili zao wanazitumia vizuriDuuh! hatari
Uzi uishie hapa tafadhali,Bora unyimwe rasilimali lakini sio akili
Sababu wanakwenda kama wezi na matapeli na kuna loopholes za utapeli sehemu wanazokwenda.., ndio maana nikaongelea system iwapo kuna system ya kubana wezi na kushika wezi kuna system za watu kupata ujira halali kutokana na kazi za halali utaona kwamba Nigeria ina vichwa.. kutokea wanamuziki, wacheza mpira, waandishi, wacheza sinema n.k. ni kwamba tu hakupa proper sustainable system ya kutumia hizo nguvu kazi... Na sio Afrika tu hata hio ulaya inakwenda down the drain slowly but surely....Wanaijeria wana lalamikiwa popote duniani kwa mambo ya hovyo hovyo.
FACT na hii sio kwa Nigeria tu, Mi afrika yote.Je, unakubaliana nayo hii tweet ?View attachment 3177140
Huwa nina kanuni yangu moja tu nikiwa matembezi katika nchi yoyote kujua nchi ina viongozi timamu au lah!Je, unakubaliana nayo hii tweet ?View attachment 3177140
Afrika before colonialism walikuwa na system zao... hata baada ya hapo kuna vichwa kama Kwame, Thomas Sankara, Patrice Lumumba (huwezi hata kuwalinganisha na takataka kama kina Trump wa leo hii).Lini tuliwahi kuwa na viongozi bora ?
100% truly.Je, unakubaliana nayo hii tweet ?View attachment 3177140
101% Truth !Je, unakubaliana nayo hii tweet ?View attachment 3177140
Huu ni ukweli mtupuJe, unakubaliana nayo hii tweet ?View attachment 3177140
huo ni ukweli, kwa mfano hata sisi tubadirishane nchi na USA, CCM watafanya kila kilicho chao baadaye USA itakuja kuomba misaada Tanzania.Je, unakubaliana nayo hii tweet ?View attachment 3177140
Sio watu bali watu safiIli tuendelee tuna hitaji
Siasa safi
Watu
Kwa maelezo yako uko sahihi, Ila kwa maelezo ya hiyo "Tweet" si sahihi.huo ni ukweli, kwa mfano hata sisi tubadirishane nchi na USA, CCM watafanya kila kilicho chao baadaye USA itakuja kuomba misaada Tanzania.