Ndio ndio mkuu ๐Bwashee๐
KINACHOIPONZA AFRICA NI VIONGOZI WALAFI (WASIOTOSHEKA) WAROHO (HAWASHIBI) NA WENGI WANATUONGOZA KINAFIKI, WANAWACHEKA RAIA WAO (BITEBARK) WENGI HAWANA STRATEGIC PLAN, PIA WAMEJAA MAONGEZI MENGI MATENDO ZERO.Je, unakubaliana nayo hii tweet ?View attachment 3177140
Kweli kabisaWako sahihi kabisa, zile metro zote zitakuwa mbovu, zile oil rigs zote baharini zitazama, zile ship/drill ship/rigs building yard zote zitakufa.
Halafu Norway itaanza kuwa ombaomba, itaanza kuwa na raia masikini, itaanza kuwa inaongeza kwa rushwa na wizi wa mali za umma.
Mbowe huyu huyu ambaye amekilemaza chama kwa miaka 20 au mwingine.Bongo tunamhitaji mbowe tuu ili tuwe kama nchi za Ulaya, hawa ccm hawatupeki popote ๐
Akiwa rais atakuwa sawa ๐Mbowe huyu huyu ambaye amekilemaza chama kwa miaka 20 au mwingine.