Toyota sio wajinga kutengeneza aina hiyo ya gari.Unaposema motor vehicle basi huwezi ku-ignore vitu kama comfort na safety features.
Sasa sidhani kama ukiwa kwenye Passo unapata comfort yoyote ile, achilia mbali safety.
Unaposema motor vehicle basi huwezi ku-ignore vitu kama comfort na safety features.
Sasa sidhani kama ukiwa kwenye Passo unapata comfort yoyote ile, achilia mbali safety.
Unataka uwe inakainua kushindilia mafuta!?Watu saiz wanatafuta gari ambayo ni cost effective kuirun. Mtu unakuta una mshahara wa 1.5m unalazimisha gari ya 2400cc akati unakaa kwenye foleni 3 -4 hours kwa siku, and unatumia wese la 20000 kwa siku., usitegemee maendeleo kwako. Tena ningekuwa naishi dar mm ningenunua hii hapa. Hata kid kwangu running cost kubwaView attachment 826423
Kuna passo zina 1290 hafu no 4WD huwezi compare na zile cc 990
Wanatupita barabarani wapo easy and comfortable. Naamini ni usafiri salama.Sijaziona kupinduka .Naona jinsi wenye passo watabubujikwa na machozi wakiona huu uzi
Toyota Starlet..Kati ya Suzuki Swift, Toyota Passo, Toyota Vitz/Yaris, Honda Fit na Toyota Starlet. Ni baby walker gani ipo imara zaidi, inaweza kwenda masafa zaidi (considering kuwa hizi zote ni town cars). Sijaweka Toyota IST coz nahisi ipo juu ya hizi zote.
Mjapan alitengeza gari chini ya mwaka 2000...sasa hivi anafyatua gari kulingana na fashion tu maana gari zingine unaona kabisa zipo kwa ajili ya matumizi ya kawaida...just imagine kuna Toyota Corolla za miaka ya 90 huko zinaonekana imara kuliko gari za sasa latest na hata ukienda garage unakuta gari nyingi zimekufa na kwa wale waumini wa kununua gari kwa matanganazo ya gari hiyo ni namba C ama D si kwa kupigwa huko.na ndio hasa zimebuniwa kwa town trips tu! Ukisafiri kaa kwenye 6 au v8 utainjoy safari!
Passo inakipupwe na kama mvua sio ya upepo mkali unapeta tu barabaraniTofauti ya Passo na Bajaj ipo wapi?
hahahaha ni nomaBajaj ina kipupwe asilia pia ukiweka JBL ama Spika muziki kama upo CLUB zaidi hukai kwenye foleni
Hivi unajua kuna tofauti kubwa sana ya mtu anayeridhika na mshahara na yule ambae akipewa mshahara basi ni kujikimu tu.Toyota sio wajinga kutengeneza aina hiyo ya gari.
Tena for export. Mwenye ghorofa hamcheki mwenye Mgongo wa tembo, bali asiye na kibanda humcheka mwenye Tembe
Hajui kwa nini kanunua with millions.? Unalificha halafu unaendesha barabarani kweupe.Hivi unajua kuna tofauti kubwa sana ya mtu anayeridhika na mshahara na yule ambae akipewa mshahara basi ni kujikimu tu.
Sasa unachojaribu kusema hapa ni kuamini kwamba yupo mtu ambae anapewa mshahara wa kujikimu halafu anajifanya kuridhika nao.
Watu wa PASSO hizo gari wanaziendesha kwa mateso sana na wanajua hilo. Ndio maana ukikutana na mtu wa PASSO, yupo tayari kulipark mita 200 huko halafu aje kwa miguu ndio muonane (kwa maneno mengine ni kwamba analificha gari lake). Hiyo pekee ni kwamba wamiliki PASSO hawapo comfortable na hizo baby walker zao.
Sasa kuna binadamu gani anataka kuishi with all those limitations na gari lake!?Passo ni Gar nzuri ya kuendea ofisin, ila mwenye chombo azuie VIFUATAVYO.
1. Asiwe mtu wa league barabarani
2. Asiwe mtu wa Safar ndef za mara kwa mara.
3. Anapoishi awe na uhakika wa uwepo wa lami la sivyo ataifunika na turubai nyumban
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi unajua kuna tofauti kubwa sana ya mtu anayeridhika na mshahara na yule ambae akipewa mshahara basi ni kujikimu tu.
Sasa unachojaribu kusema hapa ni kuamini kwamba yupo mtu ambae anapewa mshahara wa kujikimu halafu anajifanya kuridhika nao.
Watu wa PASSO hizo gari wanaziendesha kwa mateso sana na wanajua hilo. Ndio maana ukikutana na mtu wa PASSO, yupo tayari kulipark mita 200 huko halafu aje kwa miguu ndio muonane (kwa maneno mengine ni kwamba analificha gari lake). Hiyo pekee ni kwamba wamiliki PASSO hawapo comfortable na hizo baby walker zao.