Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,140
Katika gari ndogo ya maana ni IST
Huwezi kuwa na akili timamu ukaja sehemu nikakuuliza umekujaje ukasema umekuja na gari halafu ukanionesha passo...ni bora uje na daladala tu nijue hujanunua gari unajipanga. passo nayo ni gari? hiki ni kidude kinatumika kwa wale wacheza golf kuwazungusha wenye viwanja vya golf huku tanzania ndo tunasafiria. sasa passo unaenda nayo mbeya na ile milima kweli wewe una akili? unataka upate ajali njiani umsingizie shetani..kigari kinapigwa upepo kinataka kupinduka umeshwah endesha gari njia kuu ukakutana na yale malori au mabasi yameachia break yanawah mitaa flan? ule upepo wake tu unaweza ukakuta kigari chako kinaBinduka. viacheni vipasso hapa mjini tu akina mama waendee sokoni na wadada wa kazi pia kuwapelekea watoto shule. ila usije mwanaume mzima na akili zako unanambia una gari gari lenyewe passo....jinga kabisa.
Hiyo ni passo yako tu, pole me nina passo tangu 2014 mpaka leo na napiga root ndefu zote Tanzania bara. Hakuna cha kutoa thermostat wala nn na hii yangu ni 4p
Hivi wakisema wenye magari,na wenye passo wamo?
Mnaionea passo kusafir umbali mkoa mrefu
Hongera mkuu tena hongera sana ila kumbuka Mungu anakuona ujue na Mungu hanaga mdhaa. Kwa hiyo ni heri ununue baisikeli au usiwe na chombo chochote cha usafiri kuliko passo sio? Nimekuelewa mkuuMkuu na wewe mwanaume unaendeshaje Passo? Hayo ni magari ya wanawake mkuu.
Hongera mkuu tena hongera sana ila kumbuka Mungu anakuona ujue na Mungu hanaga mdhaa. Kwa hiyo ni heri ununue baisikeli au usiwe na chombo chochote cha usafiri kuliko passo sio? Nimekuelewa mkuu
Me nimekuelewa mbona wala usiwe na wasi wasi nitazichanga tuUsimaindi mkuu nilikuwa nakuchagiza tu mkuu. Hiyo pesa ya Passo changa kidogo utapata kitu cha hadhi ya juu kidogo.
Shida yetu watanzania tunajali hadhi sana kuliko function ya chombo chenyewe... wenzetu wanao tengeneza hivi vitu hawako hivyo... kwa sasa wat i care nna fika niendako sio nionekanavyo... mzee badilikaUsimaindi mkuu nilikuwa nakuchagiza tu mkuu. Hiyo pesa ya Passo changa kidogo utapata kitu cha hadhi ya juu kidogo.
Narudia, passo ni sawa na wheel Barrow yenye injini. Usithubutu kununua.
Zinabebwa kwenye malori ya kubebea magari.
Mkuu, tumesafiri na Passo mpaka Moro Km 200 saafi kabisa. Tumetumia mafuta ya buku 22 tu! This is the car to have I tell you...Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Nakuhakikishia MTU anayeponda gari flani hajawahi kumiliki hata baiskeli! Sina passo lkn naamini ni gari poa tu! Ilimradi siendeshei milimani najua itadumu tu bila wasiMkuu, tumesafiri na Passo mpaka Moro Km 200 saafi kabisa. Tumetumia mafuta ya buku 22 tu! This is the car to have I tell you...
Nakuhakikishia MTU anayeponda gari flani hajawahi kumiliki hata baiskeli! Sina passo lkn naamini ni gari poa tu! Ilimradi siendeshei milimani najua itadumu tu bila wasi
Sent from Moto G
Tuyota starlet imara sana japo ni out of fashionKati ya Suzuki Swift, Toyota Passo, Toyota Vitz/Yaris, Honda Fit na Toyota Starlet. Ni baby walker gani ipo imara zaidi, inaweza kwenda masafa zaidi (considering kuwa hizi zote ni town cars). Sijaweka Toyota IST coz nahisi ipo juu ya hizi zote.