Inahitaji ujasiri kumiliki PASSO


Taratibu Mkuu. Umewadisi sana mpaka wanajisikia vibaya wamiliki wa Passo.
 
Hiyo ni passo yako tu, pole me nina passo tangu 2014 mpaka leo na napiga root ndefu zote Tanzania bara. Hakuna cha kutoa thermostat wala nn na hii yangu ni 4p

Mkuu na wewe mwanaume unaendeshaje Passo? Hayo ni magari ya wanawake mkuu.
 
Bashite piga marufuku PASSO kama ulivyofanya kwa SHISHA
 
Hongera mkuu tena hongera sana ila kumbuka Mungu anakuona ujue na Mungu hanaga mdhaa. Kwa hiyo ni heri ununue baisikeli au usiwe na chombo chochote cha usafiri kuliko passo sio? Nimekuelewa mkuu

Usimaindi mkuu nilikuwa nakuchagiza tu mkuu. Hiyo pesa ya Passo changa kidogo utapata kitu cha hadhi ya juu kidogo.
 
Usimaindi mkuu nilikuwa nakuchagiza tu mkuu. Hiyo pesa ya Passo changa kidogo utapata kitu cha hadhi ya juu kidogo.
Shida yetu watanzania tunajali hadhi sana kuliko function ya chombo chenyewe... wenzetu wanao tengeneza hivi vitu hawako hivyo... kwa sasa wat i care nna fika niendako sio nionekanavyo... mzee badilika
 
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?

Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Mkuu, tumesafiri na Passo mpaka Moro Km 200 saafi kabisa. Tumetumia mafuta ya buku 22 tu! This is the car to have I tell you...
 
Mkuu, tumesafiri na Passo mpaka Moro Km 200 saafi kabisa. Tumetumia mafuta ya buku 22 tu! This is the car to have I tell you...
Nakuhakikishia MTU anayeponda gari flani hajawahi kumiliki hata baiskeli! Sina passo lkn naamini ni gari poa tu! Ilimradi siendeshei milimani najua itadumu tu bila wasi

Sent from Moto G
 
Nakuhakikishia MTU anayeponda gari flani hajawahi kumiliki hata baiskeli! Sina passo lkn naamini ni gari poa tu! Ilimradi siendeshei milimani najua itadumu tu bila wasi

Sent from Moto G

Most likely
 
Lazima kabla ya kujadili aina ya gari ni lazima tujue kuwa kila mtu hununua gari kulingana na matumizi na kipato chake, passo ni gari kama gati zingine, iwe ya cylinder 3 au 4, kikubwa ni matunzo na kufanya service kwa wakati na kutumia mafuta na spea zenye ubora

Masasaa Original
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…