Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
Habari wadau,
Kwa wale wenye uzoefu na biashara hii ya uwakala wa kibenki, yaani unakuwa na kibanda chako lakini unafanya shughuli za uwakala wa mabenki mbalimbali, kama vile NMB na CRDB inahitaji mtaji wa Tsh ngapi Ili kuifanya biashara hii bila kutetereka?
Na pia ni vitu gani muhimu vya kuzingatia ili kuifanya biashara hii kwa ufanisi zaidi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!
Kwa wale wenye uzoefu na biashara hii ya uwakala wa kibenki, yaani unakuwa na kibanda chako lakini unafanya shughuli za uwakala wa mabenki mbalimbali, kama vile NMB na CRDB inahitaji mtaji wa Tsh ngapi Ili kuifanya biashara hii bila kutetereka?
Na pia ni vitu gani muhimu vya kuzingatia ili kuifanya biashara hii kwa ufanisi zaidi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!