Inahitajika mtaji kiasi gani ili kuweza kufanya shughuli za uwakala wa mabenki?

Inahitajika mtaji kiasi gani ili kuweza kufanya shughuli za uwakala wa mabenki?

Shukrani sana mtaalam kwa haya madini. Vipi nikianza na mtaji wa Tsh. 2,000,000/= naweza kuifanya biashara hii kikamilifu kwa mategemeo ya mtaji kuongezeka mbeleni!!?
2M anza na kuwa wakala wa mitandao tena chagua mtandao mmoja tu uweke hyo fungu au unaweza ukaweka mitandao miwili
 
Hyo ya Gari nyanda za juu kusini ishaingia kitambo sana (Mobile Petrol station) kuna jamaa ana magari yake kwa wilaya mbarali anazunguka sana na kujaza mafuta.
Alaf mtu anapoimba ushaur toa pasipo kukatisha tamaa kama mtu yupo Dar na anataka afanye yeye mwenyewe unamwambiaje akafungue iringa au mbeya?

Sawa kama zipo huko
Ila sijamkatisha tamaa mtu
Ni kupeana ushauri tu ntamkatazaje kwani Nina share nae Mkuu
Mimi napenda maendeleo ya mtu na moja ya maisha pia
 
Kiongozi kama haupo eneo lenye wateja weng wakutoa na kuweka,,,,ushaur wang achana na hio biashara mfano una unamuwekea mteja pesa shs 10,000/= unapata commission ya 200+ apo fikiria utafanya miamala mingap mpaka ufikishe laki 2 au 3 mwisho wa mwezi.
 
Mkuu kwanza samahani ila unachoongea siyo sahihi kwa 100% biashara itakupa profit ikiwa umeweza kuwa na foundation nzuri ya hiyo biashara yako na ukaiweka sehemu ambayo ni marketable. Biashara ya uwakala ni nzuri ja turnover yake ni nzuri pia bcoz kila siku na kila wakati transactions zinafanyika, but inategemea upo eneo gani.

Biashara mpya totally hamna!!!!!!!!!!!! Labda ufanye nn sijui biashara unaweza ukaleta mpya lakini Nina uhakika itahitaji technology ambayo haitokuwa marketable huku kwetu.

Fatilia tena report za kimahesabu ndo utajua growth ya biashara ya uwakala, graph yake ina ascend sana kama ilikushinda kwako usimkatishe mtu tamaa bcoz Kuna sehemu wewe ulikwama but mpe changamoto zilizopo na potential risks but stop hiyo Kauli ya kuwa ipo kila sehemu, ni kweli ila ina potential kubwa sana.
Mkuu ni sawa unachosema lakini pia kama mtaji ni mdogo pia ni changamoto
Kuhusu biashara mpya sina maana mpya ambayo haipo duniani hapana bali kama ipo sehemu nyingine na wewe umekuja nayo na kufanya mahali ambapo hailiwepo
 
Back
Top Bottom