Ama hakika ujana ni nusu ya wendawazimu......mambo uliyokuwa ukiyafanya ulipokuwa kijana ukiyafikiria uzeeni ndio unajua kuwa ujana ni nusu ya uendawazimu.....
What do u mean!?Hangover za weekend sometimes tabu tupu...
Nahic anataka kufananisha watu girls and boys like beberu jike na dume..
Hivi na jike huwa linaharufu kweli [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sawa mkuu
I mean that men should live in their naturality no need of adding some extras in their body...What do u mean!?
Kwani wewe siyo miongoni mwa vijana wa dar Mkuu?Bila shaka hao ni wale wa Dar mkuu!
Hata mimi napaka mafuta ya mgando aise, kupaka lotion hizi ni ushamba na kuharibu hela tu.Get smart..... Haya maharufu feki feki siioo...kuna masumu humoo..
Hamuwezi amini.. Mimi saivi natumia vasseline jelyy...
Only
Bora huyo ambaye kapulizia marashi ya maiti yenye KUNUKIA kuliko mwanaume anayenuka jasho, kikwapa, pombe au tumbaku hii inakera zaidi.Mbaya zaidi anaingia kwenye hiace au sehemu ya mkusanyiko wa watu wengi anaharibu hali ya hewa kabisa.....wengine unakuta ni washamba hata tofauti ya marashi ya MADEMU, MAITI na WANAUME hajui matokeo yake anajitundika yale ya MAITI yanoyonukia sana akidhani ndio amekomeshea sasa inakuwa ni kero kwa wasiopenda marashi kwani huwatesa wengine na si yeye aliyejipaka
Mawazo ya kimasikini, hayo mafuta ya mgando unayaokota????Hata mimi napaka mafuta ya mgando aise, kupaka lotion hizi ni ushamba na kuharibu hela tu.
Personally I hate cheap perfumesGet smart..... Haya maharufu feki feki siioo...kuna masumu humoo..
Hamuwezi amini.. Mimi saivi natumia vasseline jelyy...
Only
Kwani wewe sio maiti mkuuMbaya zaidi anaingia kwenye hiace au sehemu ya mkusanyiko wa watu wengi anaharibu hali ya hewa kabisa.....wengine unakuta ni washamba hata tofauti ya marashi ya MADEMU, MAITI na WANAUME hajui matokeo yake anajitundika yale ya MAITI yanoyonukia sana akidhani ndio amekomeshea sasa inakuwa ni kero kwa wasiopenda marashi kwani huwatesa wengine na si yeye aliyejipaka