Inakera sana kupishana na kijana wa kiume ananukia kama mwanamke

Inakera sana kupishana na kijana wa kiume ananukia kama mwanamke

True say. Kuna mwanaume mmoja alinifanya nishangae baada ya yeye kuwa amepulizia unyunyu kama wa EX wangu... zile perfume za kike zile kaliiii.

Bila aibu anasema kupendeza ni kwenda na wakati
 
Si vibaya kunukia ,,lakini tunaangalia unanukia vp ,,mwanamme kunukia kama jini ,,sio poa kabisa ,,yapo marash yakupendeza kwa mwanamme kunukia ,,ukinuka kikwapa uo uchafu
 
Mnisamehe tu leo... Inakera saanaa..

Lets get back to naturality... Girls and Boys get smart..
Labda sijakuelewa vizuri,unamanisha mwanamme asijitie Perfume aoge atie mafuta thats it?
unamanisha wewe ukishaoga nakutia mafuta ndio ushamaliza? mkuu sijui wengine ila Napenda sanaa tena sanaa
Mume wangu anukie,kila nikiona mafuta mazuri Al Oud nzuri nilazima nimnunulie mwanamme kunukia buanaaaaaa
kwanini anuke kama Beberu kama anaweza afford kununua manukato...?
 
Humu kumejaa comments za kimaskini na wivu tu.
4cce9d38ecb220b5f67e8ab0f9ac8408.jpg
 
Wadada tunapenda kuhug wakaka wanaonukia vizuri hata kuwa karibu nao yamkini sio mpenzi. Mwanaume akinukia vizuri na awe smart ni kivutio kizuri sana. Binafsi napenda mwanaume wangu anukie vizuri inanifanya kila muda nitamani kumkiss shingoni mwake au anikumbatie. Napenda perfume nzuri na yeye ni mpenzi wa manukato mazuri basi nikiwa nae hata faragha na enjoy sana.
Kila mtu ana haki ya kuutumia mwili wake anavyopenda, mwili wa mwingne we utaupangiaje matumizi! Nimekuelewa sana bi dada
 
Tena hakuna viumbe wavumilivu kama wanawake.... Wanavumilia vingi sn kwetu sisi wanaume.. Moja wapo UCHAFU NA KUNUKA... utakuta MWANAUME katoka alikotoka na MIJASHO......AU HARUFU YA MDOMO na SIGARA...anamparamia mkewe...Mwanamke hana jinsi tu anavumilia...badilikeni enyi wanaume WACHAFU... nilishapata wake za watu..... NIKAULIZA why inamuwa hivi?na wewe mke wa mtu akasema sababu ya kunipa BUMUNDA... NANUKIA PERFUMES NZR NA NI MTANASHATI...badilikeni..MTAGEGEDEWA wake zenu nyie wanaume WACHAFU..na vijana watanashati huko mitaani..HAKUNA NAMANA....wake zenu wanavumilia tu MAJASHO..KIKWAPA. .KUNUKA mdomo..kunuka JASHO LA MIGUU...
 
Hangover za weekend sometimes tabu tupu...

Nahic anataka kufananisha watu girls and boys like beberu jike na dume..

Hivi na jike huwa linaharufu kweli [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sawa mkuu
Hilo beberu jike linapatikana wapi mkuu?
 
Post hii imejaa dalili ya wivu na usela wa kizamani
Yaani anaejinukatisha kikike kike aonewe wivu,amaa kweli tutumiavyo vinatujenga kufanana navyo maana hata matumizi ya neno wivu ulivyolipachika km hao mnao nukia sawa nao
 
Back
Top Bottom