Inakera sana kupishana na kijana wa kiume ananukia kama mwanamke

Inakera sana kupishana na kijana wa kiume ananukia kama mwanamke

Wadada tunapenda kuhug wakaka wanaonukia vizuri hata kuwa karibu nao yamkini sio mpenzi. Mwanaume akinukia vizuri na awe smart ni kivutio kizuri sana. Binafsi napenda mwanaume wangu anukie vizuri inanifanya kila muda nitamani kumkiss shingoni mwake au anikumbatie. Napenda perfume nzuri na yeye ni mpenzi wa manukato mazuri basi nikiwa nae hata faragha na enjoy sana.
Sana km unavyonukia we we ke na yeye me ananukia hivyo hivyo kwa nini usivutike na wewe mwenyewe,tofautisheni minukio
Acheni kuiga
Hata watengenezaji wametofautisha minukio ya ke na me,
Mm sinukii chochote,manukato wala kikwapa,na nnajikubali na kujipenda sana,nawaona wanaohangaika kubadili vichupa na majina ya manukato
 
Mkuu nadhani ni ufinyu wa mawazo unakusumbuwa...labda nikwambiye kitu kwa faida yko..duniani kila mtu ana vitu anavyopenda ktk maisha yake.. Ili awe happy...au awe comfortable... Wapo walevi...wapo wanaopenda kufumuliwa marinda...wapo wanaopenda kuvaa... Wapo wanaopenda kunukia marashi mazuri sn....mimi ni mmoja wao...hao wanaopenda kunukia marashi mazuri mno....tena inaonyesha kwa jinsi gani ulivyokuwa mbali na UTANASHATI...huwezi kukutana na mwanaume mtanashati HUKU nguo zinanukia DAWA YA MENDE...mimi nanunuwa perfumes hata za laki 800000 huo ndy ugonjwa wangu..bila perfume ni kama sijavaa nguo...mkuu....na wakina dada hawapendi wanaume wasiojipenda...hata km una pesa lakini unanuka KORODANI..unanuka MDOMO..unanuka VIATU au KIPWAPA basi ujuwe wewe ni ATM tu..hao warembo wanakutumia tu..lakini wana wanaume watanashati ..PERFUME NI KAMA NGUO..usipo tumia hata siku moja unajiona km hujavaa shirt...au suruali...PIA KUNUKA DAWA YA MENDE au kunuka MIGUU....kunuka MDOMO...hakukufanyi uwe mwanaume kamili..ni UCHAFU TU MKUU..
772416d56f9418832a36ceeec6e94ba6.jpg
hapo mkuu pana Joop..pana KOROUS.. Pana esymiake..na HUGO BOSS....hizo ni hatari ya danger mkuu.. Huo ndy ugonjwa wangu mkuu....usituanike humu kama wewe ni SIO MGONJWA WA MANUKATO..
Anzeni na kuvaa magauni,
Maana km mmetengenezewa minukio ya ke na me ninyi mnapenda ya ke tuwafanye nini sasa,afu mnajiita wajanja,
 
Mkuu nadhani ni ufinyu wa mawazo unakusumbuwa...labda nikwambiye kitu kwa faida yko..duniani kila mtu ana vitu anavyopenda ktk maisha yake.. Ili awe happy...au awe comfortable... Wapo walevi...wapo wanaopenda kufumuliwa marinda...wapo wanaopenda kuvaa... Wapo wanaopenda kunukia marashi mazuri sn....mimi ni mmoja wao...hao wanaopenda kunukia marashi mazuri mno....tena inaonyesha kwa jinsi gani ulivyokuwa mbali na UTANASHATI...huwezi kukutana na mwanaume mtanashati HUKU nguo zinanukia DAWA YA MENDE...mimi nanunuwa perfumes hata za laki 800000 huo ndy ugonjwa wangu..bila perfume ni kama sijavaa nguo...mkuu....na wakina dada hawapendi wanaume wasiojipenda...hata km una pesa lakini unanuka KORODANI..unanuka MDOMO..unanuka VIATU au KIPWAPA basi ujuwe wewe ni ATM tu..hao warembo wanakutumia tu..lakini wana wanaume watanashati ..PERFUME NI KAMA NGUO..usipo tumia hata siku moja unajiona km hujavaa shirt...au suruali...PIA KUNUKA DAWA YA MENDE au kunuka MIGUU....kunuka MDOMO...hakukufanyi uwe mwanaume kamili..ni UCHAFU TU MKUU..
772416d56f9418832a36ceeec6e94ba6.jpg
hapo mkuu pana Joop..pana KOROUS.. Pana esymiake..na HUGO BOSS....hizo ni hatari ya danger mkuu.. Huo ndy ugonjwa wangu mkuu....usituanike humu kama wewe ni SIO MGONJWA WA MANUKATO..
Aisee kumbe harakati zoooote ni upendwe na wadada,
Aisee
 
Ndo vijana wa Da salaam hao mkuu, kuvaa nguo/suruali na kupaka mafuta ya dada zao ndo zao
 
Bora huyo ambaye kapulizia marashi ya maiti yenye KUNUKIA kuliko mwanaume anayenuka jasho, kikwapa, pombe au tumbaku hii inakera zaidi.
Wanaofanya hayo ndo wanukaji wakongwe,
Ili kuficha mnuko wanazibia na kamarashi kakali ka kike,
Kutana nae akiwa hajajifoji na huo uanamke ndo utamkoma,
Mwanaume uko bize na mambo anayofanya mkeo au demu wako,
Watafute za kiume,
Dressing table km ya wema kwa Me ya nn
 
Kwa hiyo mleta mada kwako mtu wa kiume bora zaidi ni yule anaenuka nguvu au [HASHTAG]#ubinadamu[/HASHTAG]
 
Hivi mleta mada kasema mwanaume anuke kikwapa?,
Au kasema harufu Kali ya KIKE,
wapo wanawake kibao hawatii chembe ya kinukishi chochote na bado hawanuki vibaya,
Wapo watu wananuka tu hata waoge hao acha watumie vinukishi km dawa wasitake kutudanganya kuwa ni wapenzi tu,
Afu unajinukishaje ki like kike?
Mnaosema kikwapa kwani ke hawanukagi kikwapa siyo!
 
Anzeni na kuvaa magauni,
Maana km mmetengenezewa minukio ya ke na me ninyi mnapenda ya ke tuwafanye nini sasa,afu mnajiita wajanja,
Utachekwa mpaka na KUKU mkuu.....kunuka KORODANI.na Kunuka KIKWAPA.... hakukufanyi kuwa..mwanaume kamili...zaidi ya KUWA MCHAFU TU....usiwe na ufinyu wa fikra.... UCHAFU NI TABIA YA MTU...so unaona BORA unywe viroba...kuliko kununuwa japo... BODY SPRAY?sio kwl kwamba perfumes zinazonukia sn ni za kike...Google KUROUS....JOOP...ESYMIAKE... HUGO BOSS...for man...yatakuja hayo unayoyaona hapo..
Usidanganye wenzio... wewe HUBADILISHI CHUPI hadi UINUSE KWNZ....kama hainuki hata WEEK HUBADILISHI..
.ndy uanaume huo?wewe ni MARINDA LESS MCHAFU....straight...
 
Aisee kumbe harakati zoooote ni upendwe na wadada,
Aisee
Kwani kwa akili yako tunatafuta pesa WANAUME USIKU NA MCHANA kwa ajili ya NANI?au kutwa unajiweka SMART kwa ajili ya nani?usijidanganye mkuu...hii ipo natural....mwanamke yupo busy kwny KIOO NA KIJIREMBA SABABU YA WANAUME.... na wanaume busy na pesa sababu ya mwanamke.. Ipo hivyo...LEO UKAE BILA MWANAMKE kama watu hawajaanza kukutilia mashaka ya kufumuliwa marinda...
 
Wadada tunapenda kuhug wakaka wanaonukia vizuri hata kuwa karibu nao yamkini sio mpenzi. Mwanaume akinukia vizuri na awe smart ni kivutio kizuri sana. Binafsi napenda mwanaume wangu anukie vizuri inanifanya kila muda nitamani kumkiss shingoni mwake au anikumbatie. Napenda perfume nzuri na yeye ni mpenzi wa manukato mazuri basi nikiwa nae hata faragha na enjoy sana.
Umenena vyema MKUU...sasa mfano wewe unapenda perfumes nzr...halafu mume wako ANANUKA MDOMO..
Na mikwapa..
Kwa kifupi mume ni mchafu..
Nini kinafata?
 
Hivi mleta mada kasema mwanaume anuke kikwapa?,
Au kasema harufu Kali ya KIKE,
wapo wanawake kibao hawatii chembe ya kinukishi chochote na bado hawanuki vibaya,
Wapo watu wananuka tu hata waoge hao acha watumie vinukishi km dawa wasitake kutudanganya kuwa ni wapenzi tu,
Afu unajinukishaje ki like kike?
Mnaosema kikwapa kwani ke hawanukagi kikwapa siyo!
Mkuu mbona MAPOVU ya NJANO? VIPI? au habari ya kunuka mikwapa imekugusa?mtoa mada amesema MWANAUME ananukia km mwanamke..
Hivi mwanamke ana harufu gani?au mwanaume ana harufu gani?elewa perfumes ni kama NGUO....inakuongezea points za kuwa MTANASHATI... ukiona wewe ni mwanaume MCHAFU...MNUKA KIKWAPA umeoa..
Au una girlfriend... Elewa UNACHUNWA TU....hakuna mwanamke anayempenda MWANAUME MCHAFU...
 
Wanaofanya hayo ndo wanukaji wakongwe,
Ili kuficha mnuko wanazibia na kamarashi kakali ka kike,
Kutana nae akiwa hajajifoji na huo uanamke ndo utamkoma,
Mwanaume uko bize na mambo anayofanya mkeo au demu wako,
Watafute za kiume,
Dressing table km ya wema kwa Me ya nn
Huo uanaume wa kizamani..kwamba kisa DUME hupaki mafuta..kisa dume CHUPI UNAVAA WEEK..kisa dume HUNUKII PERFUMES.. hivi vitu vinazidisha hata. Mahaba na mkeo nyumbani... Harufu nzr inavutia vipepeo na nyuki....mkuu..
 
Hii shida ya waafrika eti mwanamume kujipaka marashi pia imekuwa ni issue. Tatizo wengi wamezoea mnuko kuanzia alikokulia mpaka nyumbani kwake
 
Jamani eH mtuache wana,maana kunukia ndio kitu ambcho.Warembk wenyewe wanavutiwa na mwanaume ambaye yupo smart na ananukia fresh.
 
Back
Top Bottom