Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hawataweza kuzuia mafurikoCCM wanataka kuzuia tone tone isije yakawa matone hatimaye mafuriko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawataweza kuzuia mafurikoCCM wanataka kuzuia tone tone isije yakawa matone hatimaye mafuriko.
hiyo nayo inatafutiwa soko, sijui kama tutaikutaLissu ukiingia ikulu fukuza mitandao yote tubaki na ttcl
Inaelekea haujaelewa somoPropaganda za kipuuzi kabisa hizi. Kama akaunti imejaa pesa tuonesheni ni shilingi ngapi zimo humo! Lissu HANA ubavu wa kuchangisha zaidi ya milioni kumi. Ushahidi ni michango ya gari lake.
Dr mitishamba soma vizuri thread kabla hujajibu.chadema ndio wamekosa umakini kuziamisha fedha kwenda bank voda hawanashida na chadema
Wewe kweli punguani!!Propaganda za kipuuzi kabisa hizi. Kama akaunti imejaa pesa tuonesheni ni shilingi ngapi zimo humo! Lissu HANA ubavu wa kuchangisha zaidi ya milioni kumi. Ushahidi ni michango ya gari lake.
Tumeni kwa bank, bank haijai bana, kwa viongozi wa chadema "" deal done "" Ni nyama choma kwa kwenda mbele.Watu wengi wameeleza kushindwa kuichangia CHADEMA kupitia mtandao wa Mpesa/Vodacom.
Baadhi ya waliojaribu kuwasiliana na Vodacom huduma kwawateja, wameambiwa kuwa eti akaunti hiyo ya CHADEMA imejaa pesa, na hivyo haiwezi kupokea hela zaidi. Wakati kwenye makubaliano kati ya CHADEMA na Vodacom, akaunti hiyo ya CHADEMA, haina ukomo wa kupokea pesa.
Hivyo kushindwa kupokelewa pesa kutoka kwa wadau wa CHADEMA inaonekana ni mpango uliosukwa kati ya Vodacom na mahasimu wa CHADEMA, kwa nia ya kuihujumu CHADEMA.
Kweli CCM ni chama cha uharibifu wa kila eneo!!!
Muda si mrefu, viongozi wa CHADEMA watatoa tamko kuhusiana na uharamia huu wa kampuni ya Vodacom.
View attachment 3254909
Kumbe chawa wa mom wako mpaka voda😂😂😂😭Watu wengi wameeleza kushindwa kuichangia CHADEMA kupitia mtandao wa Mpesa/Vodacom.
Baadhi ya waliojaribu kuwasiliana na Vodacom huduma kwawateja, wameambiwa kuwa eti akaunti hiyo ya CHADEMA imejaa pesa, na hivyo haiwezi kupokea hela zaidi. Wakati kwenye makubaliano kati ya CHADEMA na Vodacom, akaunti hiyo ya CHADEMA, haina ukomo wa kupokea pesa.
Hivyo kushindwa kupokelewa pesa kutoka kwa wadau wa CHADEMA inaonekana ni mpango uliosukwa kati ya Vodacom na mahasimu wa CHADEMA, kwa nia ya kuihujumu CHADEMA.
Kweli CCM ni chama cha uharibifu wa kila eneo!!!
Muda si mrefu, viongozi wa CHADEMA watatoa tamko kuhusiana na uharamia huu wa kampuni ya Vodacom.
View attachment 3254909
Nadhani kuna mahali hujaelewaSasa hawa chadema nao ni watu kiki kweli. Asa hapo si watoe hiyo au wahamishe kwenye account ingine mambo yaende.
Povu na matusi ya nini sasa mbona hasira sana.Wewe hujui kitu kichwani uko mweupeee
Ungemuuliza hata wakala tu wa Mpesa popote angekujibu hilo
Kuliko kuja kuandika huu upumbavu wako hapa
Tatizo la Chadema asilimia kubwa malofa na hawana uelewa wa kinachoendelea nchiniMAKADA WA CCM wapo kila mahali, Jeshini, Vodacom na kwenye mitandao yote. CCM must go.