Inakuaje akaunti ya M-Pesa ya CHADEMA inasema pesa zimejaa wakati kwenye makubaliano Vodacom ilisema akaunti haina ukomo?

Inategemea mlikuwa Tier gani ya kupokea pesa. Kama mlichagua Tier 1 kikomo chake ni milioni kumi. Sasa mnalalamikia nini!? Ahahahahaha!!
 
Siku upinzani ukishika nchi kuna makampuni na vyombo vya habari vitakuwa kwenye hali ngumu sana.
Kwa hiyo wewe lengo lako hapa ni lipi, kuwatisha watu ili "wapinzani wasipewe nchi"?

Umesikia wapi wapinzani wakitangaza kulipa kisasi "wakipewa nchi"?
 
chadema ndio wamekosa umakini kuziamisha fedha kwenda bank voda hawanashida na chadema
Hili linaweza kuwa ndiyo jibu sahihi.
Mkuu 'Bams' inafaa alione. Sidhani kuwa kuna mchezo mchafu hapa!
 
Soma juu vizuri kuhusu makubaliano yao. Umeambiwa ni limitless ac
"Limitless", haiwezekani.
Haya makampuni yanafanya kazi zao kufuatana na sheria zinavyo ruhusu.
Hakuna sheria inayo ruhusu akaunti yenye 'limitless'.
Walicho/wanacho takiwa CHADEMA ni kuhamisha hizo pesa expeditiously' ili zisizidi kiasi cha pesa kinacho ruhusiwa kwenye akaunti hiyo.
 
S
Sasa kama ni mil 10, Account hiyo ni vikoba au ? Hata harusi Account yake yaweza kuzidi mil 💯. Na sisi CCM account zetu zina ukomo ?
 
Inauma sana. Inakuwaje jhao wase nge wanashirikiana na Chama Cha Machawa (CCM) kuihujumu CHADEMA. Hawa kenge wanaudhi sana.
 
S

Sasa kama ni mil 10, Account hiyo ni vikoba au ? Hata harusi Account yake yaweza kuzidi mil 💯. Na sisi CCM account zetu zina ukomo ?
Jaribu kuelewa tofauti zilizopo kati ya Benki na Kampuni hizo za mawasiliano kuhusu maswala ya akaunti za pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…