Inakuaje bei za mafuta kwenye soko la dunia zinashuka ila Tanzania zinazidi kupanda?

Inakuaje bei za mafuta kwenye soko la dunia zinashuka ila Tanzania zinazidi kupanda?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la Dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka miezi ya karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi Dola 124 kwa pipa mwezi Februari lakini tangia juni bei zilikuwa zinashuka na hadi sasa ni Dola 94 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweka hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi Dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikuwa kwenye Dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya Dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

Screenshot_2022-08-03-08-28-56-16_a068875e8d70110f8d1ec48729c67374.jpg


1659513122807.png
 
Wakuu habari, leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la dunia

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka siku za karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi dola 124 kwa pipa miezi michache nyuma lakini hivi sasa ni dola 98
Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweks hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi dola 124 kwa pipa
Lakini tangu mwezi Juni yalikua kwenye dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya dola 100 siku za karibuni

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?


View attachment 2312442
266B5E6C-EF41-4A54-837C-8101CC967B59.jpeg
 
Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka siku za karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi dola 124 kwa pipa miezi michache nyuma lakini hivi sasa ni dola 98 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweks hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikua kwenye dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

View attachment 2312442
Ccm ni mafii
 
Endeleeni kumsifu mama, kila kukicha na bado mkumbuke mafuta ndio yamebeba maisha yote ya binadamu. ikipanda mafuta vyakula vyoote vina panda bei nauli inapanda kwa ujumla maisha ya binadamu yanapanda na kuwa na hali ngumu, watu wenye kipato kikubwa hawajali kupanda kwa maisha kwao ni sawa tu, 80/% ya watanzania wanaishi kwa pesa za dili. wapo dili zao kwa siku mamilioni mbali na mshahara wapo wengine dili zao maelfu kwa siku. wapo wengine rushwa kwahiyo maisha yakipanda watu hawa haiwagusi
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
 
Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka siku za karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi dola 124 kwa pipa miezi michache nyuma lakini hivi sasa ni dola 98 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweks hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikua kwenye dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

View attachment 2312442
Hii ndo nchi pekee duniani ambayo mifumo ya kibiashara haifanyagi kAZI NAfikiri mafuta yao wanaagiza kutoka ahera madukani ambapo importation cost zipo juu sana kuliko za duniani
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Endelea kujidanganya kwa kujificha kwenye sababu za kitoto za shehena
 
Hii ndo nchi pekee duniani ambayo mifumo ya kibiashara haifanyagi kAZI NAfikiri mafuta yao wanaagiza kutoka ahera madukani ambapo importation cost zipo juu sana kuliko za duniani
Si mmekabidhi nchi kwa wapigadili mtakiona cha mtema kuni, Magufuli aliongea sana mkaishia kumuita raisi mshamba 😂😂😂 sasa wajanja ndio hao wako kuwalazeni njaa
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.

Mafuta hayajaanza kushuka jana wewe, bei za last month should be reflected this month ila ndo hivyo.
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Actually effect itaonekana mwezi October au November!

Siyo haraka kiasi hicho..
 
Back
Top Bottom