Inakuaje bei za mafuta kwenye soko la dunia zinashuka ila Tanzania zinazidi kupanda?

Inakuaje bei za mafuta kwenye soko la dunia zinashuka ila Tanzania zinazidi kupanda?

Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka siku za karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi dola 124 kwa pipa miezi michache nyuma lakini hivi sasa ni dola 98 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweks hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikua kwenye dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

View attachment 2312442
Johnny Sack,
Asante sana kutuhabarisha. Hata Mimi binafsi nimekuwa nafuatilia sana ni kweli bei imeanza kushuka na vituo vingi vya mafuta vimeshusha bei tayari.
Mfano Amerika , Uholanzi nimeona bei pia tofauti na hapo Nyumba.
Tanzania nadhani kuna mahali hapoko sawa kabisa hatuwezi kuendelea kuwapiga wananchi kihivi! Wahusika fanyeni haraka kubalance hizi bei. Acheni Tozo!!!
 
Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka siku za karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi dola 124 kwa pipa miezi michache nyuma lakini hivi sasa ni dola 98 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweks hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikua kwenye dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

View attachment 2312442
Great GT...huko Bungeni ni tatizo kubwa sana.....
 
Hiyo bei kwa pipa ni mafuta ghafi mkuu sio haya unayoweka kwenye Gari.
Naelewa, bei ya mafuta ghafi ikiwa chini na hata haya ya kwenye gari yatakuwa chini. Bei ya mafuta ghafi ikiwa juu na ya kwenye gari pia yatakua juu.
Refine cost ipo constant, au unataka kusema refine cost imeongezeka alafu crude oil imepungua? Hata hivyo nakuhakikishia refine cost haikuongezeka ilikuwa constant
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Haya yaliyopanda yaliagizwa mwezi gani maana toka mwezi june mafuta yanashuka huko duniani
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Sio kweli kabisa
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Mkuu unalamba asali kutokea wapi?
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
kama kwenye soko la dunia bei ya mafuta imekuwa ikishuka ilipaswa effect ionekane taratibu ila kumkaripia mtu anaesema ukweli haisaidii!!!

inahitajika Bwana February atupe maelezo kwanini huko dunia zilizoendelea bei ya mafuta inashuka na huku kwetu kulikojaa mawaziri mizigo wanapandisha bei , dunia ni kijiji kwasasa huwezi kumficha mtu yanayoendelea kwingineko duniani

Kwa lugha rahisi serikali hii haifai kwanini inabariki wananchi kuibiwa pesa zao kupitia kuuziwa mafuta kwa bei ya juu mafuta yanayonunuliwa kwa bei ya chini kabisa huko nje?
 
Back
Top Bottom