Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo, Sukuma gang Wana bei Yao ya mafuta; pia Timu Bibi-tozo na wao wanabei Yao ya mafuta.Sukuma gang wanakomeshwa na bei za juu za mafuta. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilitaka nikupe moja hiyo Sema ungeenda kujinyonga kwa stress acha nikae kimyaUsafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.
Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.
Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
VITUO vya MAFUTA ni vya Wenye NCHI wanapanga BEI waitakayo na hamna cha Kuwafanya CCM OYEEWakuu habari,
Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la Dunia.
Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka siku za karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi Dola 124 kwa pipa miezi michache nyuma lakini hivi sasa ni Dola 98 Serikali inatumia kikokotoo gani?
Nimeweka hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi Dola 124 kwa pipa.
Lakini tangu mwezi Juni yalikuwa kwenye Dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya Dola 94 siku za karibuni.
Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?
Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?
View attachment 2312442
Unajua wakati mwingine sio lazima utoe hoja kwa kufoka na kutaka kuonekana unajua sana, lakini pia unapoamua kutetea kila kitu kuna sehemu ni lazima utaonekana wa ajabu tu.Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.
Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.
Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Huyo jamaa kuna namna huwa anataka ajikute anajua kila kitu na kukashifu wenzake, kumbe ni debe tupu.Endelea kujidanganya kwa kujificha kwenye sababu za kitoto za shehena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sukuma gang wanakomeshwa na bei za juu za mafuta. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yalifikia hadi 20$Hata yakifika $ 70 kama Zamani..
......Kiendacho kwa Mganga.....
Yakishuka unaambiwa effect yake ni miezi miwili mbele ila yakipanda leo huko duniani, bei zinapanda hapohapo bila kujali maswala ya shehena wala nini.Mafuta hayajaanza kushuka jana wewe, bei za last month should be reflected this month ila ndo hivyo.
Bei ya mafuta ghafi ni direct propotional to mafuta masafi (haya unayowekewa kwenye gari).Hiyo bei kwa pipa ni mafuta ghafi mkuu sio haya unayoweka kwenye Gari.
Nafikiri ni katika harakati zake za kumtetea bibi yake SHH.Haya yaliyopanda yaliagizwa mwezi gani maana toka mwezi june mafuta yanashuka huko duniani
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.
Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.
Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Huu ujinga tafuta wajinga wa kuwaambia. Mafuta yakipanda Bei huko mnakokuita dunia, haraka sana na huku kwetu yanapanda. Kwa Nini yakishuka huko na huku hayashuki!?Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.
Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.
Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Yameshuka miezi miwili mfululizo kakaUsafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.
Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.
Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Nilijua kuna zezeta atakuja na hii excuse tuUsafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.
Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.
Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.