Inakuaje bei za mafuta kwenye soko la dunia zinashuka ila Tanzania zinazidi kupanda?

Inakuaje bei za mafuta kwenye soko la dunia zinashuka ila Tanzania zinazidi kupanda?

Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Nilitaka nikupe moja hiyo Sema ungeenda kujinyonga kwa stress acha nikae kimya
 
Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la Dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka siku za karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi Dola 124 kwa pipa miezi michache nyuma lakini hivi sasa ni Dola 98 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweka hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi Dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikuwa kwenye Dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya Dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

View attachment 2312442
VITUO vya MAFUTA ni vya Wenye NCHI wanapanga BEI waitakayo na hamna cha Kuwafanya CCM OYEE
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Unajua wakati mwingine sio lazima utoe hoja kwa kufoka na kutaka kuonekana unajua sana, lakini pia unapoamua kutetea kila kitu kuna sehemu ni lazima utaonekana wa ajabu tu.

Okay nakubali mafuta hayaagizwi kama pedi na umekubali kuwa kwenye soko la dunia yameshuka bei, katika hali ya kawaida hatutegemei haya yaliyopo bohari kushuka kwakua yalinunuliwa kwa bei kubwa (wakati ambayo bei ilikuwa kubwa huko duniani), kwahiyo tukisema yashushwe ni lazima hasara iwepo.

Hoja ni kwanini haya yaliyopo bohari tayari, yapande bei??? Tulitegemea bei ibaki static wakati tunasubiri yale mengine ambayo yatakuja (yaliyonunuliwa bei ndogo), ili bei ishuke, badala yake mafuta yanapanda bei, kilichofanya haya mafuta yapande ni nini kitaalamu??

Sijaona sababu ya wewe kumtukana huyo uliyemquote, hata kama unampenda huyo mama yako at some extent jaribu kuwa na reasoning.
 
Endelea kujidanganya kwa kujificha kwenye sababu za kitoto za shehena
Huyo jamaa kuna namna huwa anataka ajikute anajua kila kitu na kukashifu wenzake, kumbe ni debe tupu.

Si ajau hana hata chombo cha moto, au kama anacho basi ni PASSO, VITZ au IST.
 
Mafuta hayajaanza kushuka jana wewe, bei za last month should be reflected this month ila ndo hivyo.
Yakishuka unaambiwa effect yake ni miezi miwili mbele ila yakipanda leo huko duniani, bei zinapanda hapohapo bila kujali maswala ya shehena wala nini.

Mimi huwa nawashangaa wanaojaribu kumtetea huyu dada, hii nchi imemshinda.
 
Kwa nini yakipanda huko duniani yanapozalishwa na hapa yanapanda ndani ya muda mfupi sana?1?
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Huu ujinga tafuta wajinga wa kuwaambia. Mafuta yakipanda Bei huko mnakokuita dunia, haraka sana na huku kwetu yanapanda. Kwa Nini yakishuka huko na huku hayashuki!?

Hapa suala Ni moja tu. Wahuni ndio wanaendesha nchi kwa Sasa. Tumepoteza serikali kwa wapiga dili.
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Yameshuka miezi miwili mfululizo kaka
Stats hazidanganyi
Screenshot_2022-08-03-08-28-56-16_a068875e8d70110f8d1ec48729c67374.jpg
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Nilijua kuna zezeta atakuja na hii excuse tu
Kama mafuta yanachukua mwezi kusafirishwa basi inamaanisha haya ya mwezi wa 8 yaliagizwa mwezi wa 7
Lakini ukiangalia mwezi wa 7 pia maguta yalikuwa yameshaanza kushuka yalikuwa chini kuliko bei za Februari, Machi na Aprili, so inakuwaje mafuta yana trend ya kupanda tu wakati duniani hali sio hiyo?
 
Back
Top Bottom