Inakuaje bei za mafuta kwenye soko la dunia zinashuka ila Tanzania zinazidi kupanda?

Inakuaje bei za mafuta kwenye soko la dunia zinashuka ila Tanzania zinazidi kupanda?

WAFANYA BIASHARA WA MAFUTA SAHIVI WAMEDHAMIRIA KUFANYA
BIASHARA YA MAFUTA,HUU NI MKAKATI MAALUM

ONA TU SAHVI VITUO VYA MAFUTA
VINAVYOANZISHWA

ova
Hapa ndipo pesa za kugharamia rushwa kwa wananchi wajinga 2025 zitakapopatikana.
 
Hapa hutumika mfumo wa udanganyifu! Watakuambia mafuta yaliagizwa wakati bei ya mafuta kwenye soko la dunia ilipokuwa juu! Lakini hatujawahi kuona bei duniani ikiwa imepanda sisi tuuziwe kwa bei rahisi kwa sababu mafuta yaliagizwa wakati bei ya mafuta kwenye soko la dunia ilipokuwa chini! wizi mtupu
 
Unawezakukuta maza na yeye ndio anapata taarifa humu. Maza kama maza hivi vitu vikubwa sana kwake
Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la Dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka miezi ya karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi Dola 124 kwa pipa mwezi Februari lakini tangia juni bei zilikuwa zinashuka na hadi sasa ni Dola 94 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweka hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi Dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikuwa kwenye Dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya Dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

View attachment 2312674

View attachment 2312748
 
Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la Dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka miezi ya karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi Dola 124 kwa pipa mwezi Februari lakini tangia juni bei zilikuwa zinashuka na hadi sasa ni Dola 94 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweka hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi Dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikuwa kwenye Dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya Dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

View attachment 2312674

View attachment 2312748
bei zimeshuka kiasi uko duniani, Baaya ya wazugu kususia mafuta ya Mrusi, Saudia ndie anasupply mafuta bara Ulaya kwa asilimia kubwa ana amelikataa soko la Afrika kwa kiwango flani ambaop ndio tulikuwa wateja wake wakubwa.

Hata kupata meli kuleta mafuta Afrika ni changamoto, meli zpte zinataka routes za Ulaya kwanza zina maslahi na bandari zao hazina urasimu utakao wapa hasara kama hizi za kwetu
 
Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la Dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka miezi ya karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi Dola 124 kwa pipa mwezi Februari lakini tangia juni bei zilikuwa zinashuka na hadi sasa ni Dola 94 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweka hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi Dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikuwa kwenye Dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya Dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

View attachment 2312674

View attachment 2312748
Maisha yakipanda hakikisha na wewe unapanda thamani kuliko maisha, tengeneza pesa-wekeza pesa-tumia pesa hii ndio kanuni itakayokusaidia kuacha kulalamika kila wakati mambo yanapokuja tofauti na ulivyotarajia na kuzoea, bongo mtaumia sana maana ni nchi inayoendeshwa na familia chache zenye tamaa ya kumiliki vitu na watu.
 
Maisha yakipanda hakikisha na wewe unapanda thamani kuliko maisha, tengeneza pesa-wekeza pesa-tumia pesa hii ndio kanuni itakayokusaidia kuacha kulalamika kila wakati mambo yanapokuja tofauti na ulivyotarajia na kuzoea, bongo mtaumia sana maana ni nchi inayoendeshwa na familia chache zenye tamaa ya kumiliki vitu na watu.
Mimi najiweza,silalamiki kuhusu mimi, nasema kwa kuwa najus inaathiri maisha ya wengi
 
Usafirishaji wa mafuta sio kama PEDI mkuu, mafuta usafirishaji wake ni very technical na unachukua muda mrefu kufika sehemu husika hasa ukanda wetu huu.

Kama mafuta yameshuka soko la dunia basi effect utaanza kuiona mwezi ujao na sio huu kwani Shehena ya mwezi ujao ndio inafungwa mwezi huu.

Tumia akili yako vizuri, na acha kukurupuka kama POPOMA.
Na ww ndo kichwa maji hasa kwann yapande
 
Wakuu habari,

Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la Dunia.

Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka miezi ya karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi Dola 124 kwa pipa mwezi Februari lakini tangia juni bei zilikuwa zinashuka na hadi sasa ni Dola 94 Serikali inatumia kikokotoo gani?

Nimeweka hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi Dola 124 kwa pipa.

Lakini tangu mwezi Juni yalikuwa kwenye Dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya Dola 94 siku za karibuni.

Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?

Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?

View attachment 2312674

View attachment 2312748
Wanarudisha Uchumi wao uliopotezwa na awamu ya 5, acha watukamue to
 
Back
Top Bottom