Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
Kuna ulazima gani wa wao kufanya hivyo?Suti nyeusi
NAKAZIAKikubwa usiwachomekee. Basi.
Bila picha
Kuna ulazima gani wa wao kufanya hivyo?
Huoni kwa kufanya hivyo ndiyo wanajianika kabisa kwamba ni watu fulani?
Kwani number si zipo kwenye mfumo wewe unachagua tu.Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.
Ivi hii imekaaje wadau🤔?
View attachment 3050570
Kwani uwepo wao nini na nini wamefanya/wametenda?Ukishawajua inawakwamisha nini kiutendaji?
Sasa kama haiwakwamishi kiutendaji kuna haja gani ya kujichoresha kwa kuweka namba ambazo sio sahihi?Ukishawajua inawakwamisha nini kiutendaji?
Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.
Ivi hii imekaaje wadau🤔?
View attachment 3050570