version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
kaa mbali na hayo madude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huitwa 'kazi maalumu', kazi muhimu kila mtu anayo.Hii gari ni kwa ajili ya kazi MUHIMU
=Unanijua MIMI nani?kaa mbali na hayo madude
KWahiyo TRA wanaotoa namba nao wanashiriki kwenye ukwepaji kodi..!!Ukwepaji wa kodi.kuna jirani yangu kanunua Fusi mwaka Jana usajili ni A🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Maalumu ndio kazi gani? Shekhe ni yuleyule kanzu mpya?Huitwa 'kazi maalumu', kazi muhimu kila mtu anayo.
WasiojulikanaHabari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.
Ivi hii imekaaje wadau🤔?
View attachment 3050570
😂😂😂Hilo nalo mkalitizame.
Mimi nateka watu, sasa wewe jichanganyeTuanze na Wewe, ofisi yako uwepo wako umefanya nini na nini?
Lisualization ndio nn mkuuKuna jirani yangu wa Kaunda suti nilimuuliza Kwa Nini namba ya zamani gari jipya?akasema wakifanya lisualization wanaweka chap namba halisi ili kuudanganya umma.Nikasema kumbe ni majambazi yaliyohalalishwa na serikali?
Tundu lisuLisualization ndio nn mkuu
Duuuh, hii ni baraaKuna jirani yangu wa Kaunda suti nilimuuliza Kwa Nini namba ya zamani gari jipya?akasema wakifanya lisualization wanaweka chap namba halisi ili kuudanganya umma.Nikasema kumbe ni majambazi yaliyohalalishwa na serikali?
Mara watu wa cybercrime wanaruka nawe, patakuwa patamu hapo, ebana watu wa cybercrime mtu wenu huyu hapa in case mkisoma uzi huuMimi nateka watu, sasa wewe jichanganye
Ni TISS kwa sasa wamechoka kusema " unajua mimi ni nani" Sasa ni staili ya SURPRISE. Ukishaona ujiulize mwenyewe.Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.
Ivi hii imekaaje wadau🤔?
View attachment 3050570
Kwahiyo hata Mimi nisiye na gari naruhusiwa kuchukua namba yangu nikaa nayo kusubiri gariNamba ni namba tu.(Registration)
Hao waliokuwa kwenye mfumo washapewa namba zao, gari likifa, wana register tu gari nyingine kwa namba hiyo hiyo.
Na hata wakijulikana, tatizo lipo wapi?
Mihogo yangu ipo wapi ninywe chai kwanza.
Naoana umeanza kuogopa 😀.Mara watu wa cybercrime wanaruka nawe, patakuwa patamu hapo, ebana watu wa cybercrime mtu wenu huyu hapa in case mkisoma uzi huu