Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
- Thread starter
- #61
Ndo uchague namba A mwaka 2024?🤔Kwani number si zipo kwenye mfumo wewe unachagua tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo uchague namba A mwaka 2024?🤔Kwani number si zipo kwenye mfumo wewe unachagua tu.
Ni TISS kwa sasa wamechoka kusema " unajua mimi ni nani" Sasa ni staili ya SURPRISE. Ukishaona ujiulize mwenyewe.
Ndio maana nasisitiza wamekosa smart people. No professionalism at allKuna ulazima gani wa wao kufanya hivyo?
Huoni kwa kufanya hivyo ndiyo wanajianika kabisa kwamba ni watu fulani?
Zinakuwa za uwizi zimeibiwa zambia huko wazembe sanaHabari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.
Ivi hii imekaaje wadau🤔?
View attachment 3050570
Inashangaza sana. Katika hali ya kawaida, mtu atang'amua tu kwamba hili gari namba zake siyo hizo. Au wenyewe wanajua wananchi ni washamba tu!Hapo ndipo akili za wana intelijensia wetu ilipofikia. Zamani walikuwa wanaweka namba juu ya namba na zinashikiliwa na rubber bend.
Hizi ni gari za TISS, Ofisi ya Raisi na Ofisi ya Makamu wa Raisi. Ukiona gari jipya lina namba za zamani elewa hivyoInashangaza sana. Katika hali ya kawaida, mtu atang'amua tu kwamba hili gari namba zake siyo hizo. Au wenyewe wanajua wananchi ni washamba tu!
Yes, "Watekaji Trans."Suti nyeusi
'Watekaji Trans'
#_Hoja mkono naungaKikubwa usiwachomekee. Basi.
Ila huwa hatusemi plate number bali ni number plate!Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.
Ivi hii imekaaje wadau🤔?
View attachment 3050570
Hata kwa gari za miaka ya 2020?Mkuu hayo hua ni magari ya zamani ambayo yamekua pimped (upgraded). Bila shaka umeelewa hamna haja ya maelezo mengi.
😀 kikokotoo cha TRA mkuuHabari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.
Ivi hii imekaaje wadau🤔?
View attachment 3050570
Huo Ndiyo Ukweli. Umafunga mjadala.Namba ni namba tu.(Registration)
Hao waliokuwa kwenye mfumo washapewa namba zao, gari likifa, wana register tu gari nyingine kwa namba hiyo hiyo.
Na hata wakijulikana, tatizo lipo wapi?
Mihogo yangu ipo wapi ninywe chai kwanza.
Kaka wenyewe wapo kazini kipi ambacho we hukielewi.View attachment 3052780
Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.
Ivi hii imekaaje wadau🤔?
View attachment 3050570
👍👍👍👍Hizo za kitengo cha 'unanijua mimi nani'.