Inakuaje gari la mwaka 2020 au zaidi linakuwa na Plate namba “A”?

Inakuaje gari la mwaka 2020 au zaidi linakuwa na Plate namba “A”?

Ni TISS kwa sasa wamechoka kusema " unajua mimi ni nani" Sasa ni staili ya SURPRISE. Ukishaona ujiulize mwenyewe.
IMG_5221.jpeg
 
Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.

Ivi hii imekaaje wadau🤔?

View attachment 3050570
Zinakuwa za uwizi zimeibiwa zambia huko wazembe sana
 
Nikiwa pale udom nimekaa jion naotea jua v8 lilikuja karibu na usawa nilipo kijana akashuka akiwa na plate number mkononi mbili akazichomeka kuziba number za serikali na kisha kuondoka kwa kasi na kutokomea njia ya asha rose migiro
 
Hapo ndipo akili za wana intelijensia wetu ilipofikia. Zamani walikuwa wanaweka namba juu ya namba na zinashikiliwa na rubber bend.
Inashangaza sana. Katika hali ya kawaida, mtu atang'amua tu kwamba hili gari namba zake siyo hizo. Au wenyewe wanajua wananchi ni washamba tu!
 
Inashangaza sana. Katika hali ya kawaida, mtu atang'amua tu kwamba hili gari namba zake siyo hizo. Au wenyewe wanajua wananchi ni washamba tu!
Hizi ni gari za TISS, Ofisi ya Raisi na Ofisi ya Makamu wa Raisi. Ukiona gari jipya lina namba za zamani elewa hivyo
 
Kuna michezo ya kubatiza namba za magari ya zamani kwenye gari mpya, watu wanafanya sana hii issue kuna vitu wanakwepa.
 
Mkuu hayo hua ni magari ya zamani ambayo yamekua pimped (upgraded). Bila shaka umeelewa hamna haja ya maelezo mengi.
 
Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.

Ivi hii imekaaje wadau🤔?

View attachment 3050570
Ila huwa hatusemi plate number bali ni number plate!
 
Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.

Ivi hii imekaaje wadau🤔?

View attachment 3050570
😀 kikokotoo cha TRA mkuu
 
Namba ni namba tu.(Registration)

Hao waliokuwa kwenye mfumo washapewa namba zao, gari likifa, wana register tu gari nyingine kwa namba hiyo hiyo.

Na hata wakijulikana, tatizo lipo wapi?

Mihogo yangu ipo wapi ninywe chai kwanza.
Huo Ndiyo Ukweli. Umafunga mjadala.
 
View attachment 3052780
Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A.

Ivi hii imekaaje wadau🤔?

View attachment 3050570
Kaka wenyewe wapo kazini kipi ambacho we hukielewi.
 
Back
Top Bottom