Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hili dude wamelifanyia facelift...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata hiyo picha ya kwanza hapo kuna slot ya kuchomekea na kuchomoa namba.Hapo ndipo akili za wana intelijensia wetu ilipofikia. Zamani walikuwa wanaweka namba juu ya namba na zinashikiliwa na rubber bend.
Nani kakudanganya inaonyesha ya taasis fulani.Izo ua n namba za kaz maalum uez peleka gar garaj letsay Toyota pale ikiwa na namba ya ikulu au ya wazir kwa kila taasis ua ina izo tunaita vibat kwaajil ya kutembelea na sio usajil halis wa gar na in case imetokea ajar ukiiserch iyo namba inakuonyesha gar n ya taasis gan
Alaf watu wanasema ni gari ya zamani ila imefanyiwa facelift. Ndugu yangu Watu8 vip na picha ya apo juu (yakwanza) nayo unaitetea vipi mkuu?🤔
Wanausalama, viongozi wakipitishwa kwa siri n.k huwa wanabadili hizo namba